FT: Kagera sugar FC 0-2 Yanga SC | NBC Premier League | Kaitaba Stadium | 29.08.2024

Tangu ligi imeanza hakujakuwa na malalamiko kwa Waamuzi kwamba wanakosea,sasa kuanzia leo hali hiyo iendelee,sio wanapocheza Yanga ndio kuwe na makosa ya maamuzi mnayosemaga ni makosa ya kibinadamu
 
Mvua inayoendelea kunyesha, inaweza kupunguza ubora wa mchezo
 
Kagera pigeni hao vijana wa jangwani 🐸🐸🐸🐸🐸
 
πŸ”°πŒπ€π“π‚π‡ πƒπ€π˜πŸ”°

πŸ† #NBCPremierLeague
⚽️ Kagera sugar FCπŸ†šYanga SC
πŸ“† 29.08.2024
🏟 Kaitaba Stadium

πŸ•–11:00 jioniView attachment 3081842
Huyu Azam naye ni kama makampuni ya kinyonyaji ya simu.unapandisha vifurushi bila kujali hali ya watanzania ikoje.unakamua maskini mpaka wanashindwa hata kujikimu halafu mnajinasibu eti ni wacha Mungu mcha Mungu anawabia wananchi maskini!
 
We nitumie ubao wa bureau yoyote hapo jijini kwenu mengine niachie
Mtaani kwangu kigamboni mie naendaga bank ya Crdb tu cheki viwango vya Leo tarehe 29 hapa chini

 
Hivi wachezaji walioitwa kwenye timu zao za nchi.. Watakosa mchezoni leo?
 
Asante sana kijana mzuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…