Ulikosea ukaingiza uvunguni? π²kaka niko kifungoni kaka nimeambiwa niwe mwema kaka juzi nilifanya kosa kubwa mno π π π π π π π π π
Wapi wewe!!Heeeeh dakika 1 tayari mtu anakoswa koswa, yanga haijui kuchelewesha goli......
Yanga haitaki kuchelewa dakika 5 goli.... Kalilie mbeleWapi wewe!!
This is Kaitabaka kaa kwa kutulia.
Tunawajua vyema ninyi
AminaMungu ibariki Young African..!!ππ
Yanga tuna vituko!πππHii sio haki. Kuna Wachezaji watatu wa Man City wameanza kwenye line up ya Yanga, uhamisho wao ulifanyika lini?
Anacheza usikuNimemmiss Guede akiwa ndani ya njano!π₯²
njoo bar yetuHawa mbwa Tanesco game inaanza wanakata umeme shenzi kabisa.
Dogo vipi matokeo ya mtihani?Dube kapiga kipuuzi sana yeye na kipa kampa kacheza kama Yikpe.