min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Ndio maana nakukubali wewe😁Imeisha hiyo☺️
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio maana nakukubali wewe😁Imeisha hiyo☺️
Kwa vile ni wao watu watachukulia kawaida ila angekuwa Mzize angepokea kapu la lawama na kushambuliwa mitandaoni.Pacomeeee, kama dube.
Mimi nakupenda kinomaNdio maana nakukubali wewe😁
Sisi tunahitaji point 3 muhimu, huo upuuzi wenu wa clean sheet bakini nao mpate ubingwa na kombe la clean sheet.No cleansheet kwa Diarra leo.
Kaunti on me
Sijui kwanini vya nyumbani lazima visakamwe.Kwa vile ni wao watu watachukulia kawaida ila angekuwa Mzize angepokea kapu la lawama na kushambuliwa mitandaoni.
nishamalizana naoSasa kesi zenu sisi hazituhusu
Andika kwa herufi kubwa chap ,nimalizie hii mbege yangu kwanza🤔Mimi nakupenda kinoma
Faraja tulia kwanza.....Mnaangalia ball lakini?
Umiliki kwa Kagera Sukari
Wasingetaka wasingepiga uelekeo wa goli.Naona leo Yanga hawataki kufunga
Unalinganisha Utopolo na Simba?Nakazia, kuna siku nililalamika hapa sana pia, hawa update matokeo kwenye heading kabisa..!
Match ya Simba ilikuwa goal linafungwa tu washabadili ubao..!! wanaboa..!!
Nimekutaja huku juu unanipotezea sio😁😁😁😁Faraja tulia kwanza.....
Yanga wametengeneza nafasi nyingi sana za wazi wameshindwa kuzitumia. Mpaka sasa magoli yalistahili kuwa 4+ ni uzembe mkubwa kupoteza nafasi nyingi kiasi hikiKwa vile ni wao watu watachukulia kawaida ila angekuwa Mzize angepokea kapu la lawama na kushambuliwa mitandaoni.
Mpo vizuri aseeeJikite kwenye mada
Kagera sugar FC 0-1 Yanga SC | NBC Premier League | Kaitaba Stadium | 29.08.2024
Sijaona, wapi hukoNimekutaja huku juu unanipotezea sio😁😁😁😁
Kabisa, halafu hawajui kama Max anatokea BukobaAcheni kuwasumbua Mods kwenye vitu vya kijinga