Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Naunga mkono hoja 😃😀😀Baada ya Dube na Ateba kwenda kuombewa, nafikiri sasa iwe zamu yaa Mukwala
Kwani nyinyi na sisi ni lini?Mpanzu anajua sana
Mwezi wa pili sio mbali mkuu 😃😀😀😀Kwani nyinyi na sisi ni lini?
Wanaumia kimtindoKuna watu hawapendi😀😄😃
Hlo goli likwap au kumaliziana MB tu
Safari hii Ramadhani Kayoko hatakuwepo.Kwani nyinyi na sisi ni lini?