Huu mwaka tofauti, Ansi ameondoka na Moo ameona mambo hayatakwenda sawa ndio maana kahamua kujiondoa kwenye kiti.Ndio ila kumbuka hiyo.hiyo.simba iliyopita mechi.mbili za mwanzo.haikushinda
Huyu mjinga sijui kwanini mpk sasa yupo yangaTumpeleke wapi nchimbi .? Bora ukasajili mchezaji wa ndondo.ba sio.nchimbi maana nchimbi anakaa mwaka bila kufunga
Mo hajaondoka mzee bali hawezi kuwa mwekezaji afu hapo hapo.awe.mwenyekiti wa bodi mzee sheria za FCC nadhani.ndizo.zimembana na kumnyima hiyo.Huu mwaka tofauti, Ansi ameondoka na Moo ameona mambo hayatakwenda sawa ndio maana kahamua kujiondoa kwenye kiti.
Ansi alikuwa mtu wa figisu
Mm huwa nasema nchimbi ana mganga noma sana daah yaani bora ya molingaHuyu mjinga sijui kwanini mpk sasa yupo yanga
Tunapunguza gharama za uendeshaji wa timu, wachezaji wakigeni tunatakiwa tuwapunguze taratibu angalau tubakie na 8Mkitugea mugali tutawapa Nchimbi halafu nanyongeza juu tunawapa na yacouba
Sisi tuna watu weweNawaombea mabaya Yanga.
Amen....
Soma vizuri, kajiondoa uenyekiti na sio ufadhili.Mo hajaondoka mzee bali hawezi kuwa mwekezaji afu hapo hapo.awe.mwenyekiti wa bodi mzee sheria za FCC nadhani.ndizo.zimembana na kumnyima hiyo.
Watu wenyewe ndio hakina Manara, Sabaya!Sisi tuna watu wewe
Bado ni.mwekezaji.ila uenyekiti kauchia mzee lazima mambo yawe yame balanceSoma vizuri, kajiondoa uenyekiti na sio ufadhili.
Hataweza kutoa pesa nyingi kama awali, namfahamu vizuri sana.Bado ni.mwekezaji.ila uenyekiti kauchia mzee lazima mambo yawe yame balance
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mm huwa nasema nchimbi ana mganga noma sana daah yaani bora ya molinga
πππππMm huwa nasema nchimbi ana mganga noma sana daah yaani bora ya molinga
Acha tuone. Yetu macho hela zao kikubwa biashara zake zikitangazwa atatia pesa tuHataweza kutoa pesa nyingi kama awali, namfahamu vizuri sana.
Halafu kwanini yeye jezi yake anavaga mikono mirefu tu au ana hirizi nini inayomsaidia kubakia Yanga ? Maana wanaondoka wachezaji lakini yeye mbovu kabisa hata ku control mpira hajui anabakia kila msimu. Mganga wake kiboko na makocha lazima kwenye sub zake lazima huyu mtu awepo aingie.Mm huwa nasema nchimbi ana mganga noma sana daah yaani bora ya molinga
Yanga mechi 3 bao 3:Hawakubali ukweli.kuwa timu yao haipo kama wanavyoipamba
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] noma sanaHalafu kwanini yeye jezi yake anavaga mikono mirefu tu au ana hirizi nini inayomsaidia kubakia Yanga ? Maana wanaondoka wachezaji lakini yeye mbovu kabisa hata ku control mpira hajui anabakia kila msimu. Mganga wake kiboko na makocha lazima kwenye sub zake lazima huyu mtu awepo aingie.
WoteYanga mechi 3 bao 0
Simba mechi 3 bao 0
Nani mbovu Kati ya Yanga na Simba?
Inabidi niwe mshabiki wa vyote.Weee ! Achana nayo shangilia Yanga.
Kwa hiyo na msimu huu unatarajia kupata viporo vingine, yaliyotokea misimu kadhaa yaache hivyo hivyo kwani hayatajirudia siku za hivi karibuni.Hawakubali ukweli.kuwa timu yao haipo kama wanavyoipamba