FT: Kagera Sugar Vs Yanga(0-1) | Ligi kuu Bara | Kaitaba

FT: Kagera Sugar Vs Yanga(0-1) | Ligi kuu Bara | Kaitaba

Kwa hiyo na msimu huu unatarajia kupata viporo vingine, yaliyotokea misimu kadhaa yaache hivyo hivyo kwani hayatajirudia siku za hivi karibuni.
Mkuu tujipe muda afu mwisho wa msimu tukiwa wazima tutakuja tena hapa hapa JF kupeana makonde yaliyo shiba
 
Halafu kwanini yeye jezi yake anavaga mikono mirefu tu au ana hirizi nini inayomsaidia kubakia Yanga ? Maana wanaondoka wachezaji lakini yeye mbovu kabisa hata ku control mpira hajui anabakia kila msimu. Mganga wake kiboko na makocha lazima kwenye sub zake lazima huyu mtu awepo aingie.
Tupeni huyu mtu kwenye dirisha dogo muone moto wake.
 
too four yangu msimu huu
1:yanga
2:azam
3:biashara
4:mbeya kwanza.
 
Halafu kwanini yeye jezi yake anavaga mikono mirefu tu au ana hirizi nini inayomsaidia kubakia Yanga ? Maana wanaondoka wachezaji lakini yeye mbovu kabisa hata ku control mpira hajui anabakia kila msimu. Mganga wake kiboko na makocha lazima kwenye sub zake lazima huyu mtu awepo aingie.
Utaambiwa kitaalamu nchimbi ni aina ya washambuliaji wa kisasa wanosumbua na kuwafanya mabeki wa pembeni wasipande[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] tumejaaliwa mmoja tu hapa Tanzania.
 
Kwa mchezo wa leo.yanga walikua wabovu saana. Hilo.lipo wazi maboresho yana hitajika saana kwa maana leo.mumcheza na.timi ndogo.sana hivyo kiufundi ilitakiwa mshinde nyingi na sio.wao.kuwazidi
Halafu uwanja mzuri
 
Niwakumbushe tu kuwa hata msimu uliopita utopolo walitangulia mbele kwa baixkeli ya miti!! Kilichotokea kila mmoja anafahamu!! Mwenye baiskeli ya miti hata akitangulia sawa tu!! Hafiki popote!!
 
Niwakumbushe tu kuwa hata msimu uliopita utopolo walitangulia mbele kwa baixkeli ya miti!! Kilichotokea kila mmoja anafahamu!! Mwenye baiskeli ya miti hata akitangulia sawa tu!! Hafiki popote!!
Makolo muli bwanji babaaa
 
Back
Top Bottom