Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aminia mkuu.Mechi ya leo simba anashinda ila idadi ya goli nitakuja kuiweka baadae
Scars kama kawaiada[emoji3][emoji3]nakusubiria unitagMechi ya leo simba anashinda ila idadi ya goli nitakuja kuiweka baadae
Simba wapo Africa kusini wanacheza mechi ya kimataifa.Kaizer Chiefs, ushindi ni lazima leo! Mkifanya utani, mtaishia tu kuja kutishiwa mapaka kwenye mechi ya marudio.
ZBC2,,,,,,,,kwenye kisimbuzi cha AZAMVip gemu itaonyeshwa live? Na ni channel ipi
Mkuu sorry kwanza sio 4k ni 75004000 ni mechi moja? Au ni package ya muda gani?
Ktn 2 kupitia supersportVip gemu itaonyeshwa live? Na ni channel ipi
Mkuu naangalia kwa simu.45 minutes gb 2 upo kwenye 4k au UHD?
Kwa kisimbusi ganiKwa wale wajanja wenye kupata beam ya Bein Sport au kupitia IPTV mechi itakuwa live Bein Sport 6
Wasiwasi ukizidi unasababisha preshaMkipigwa Pm msiseme hatukuwaambia
Nakutumia pm mkuuProvide your contact
hapa sina mb hata 1 lakini niko natumia ujanja napata data kwa speed ya 4G.How?
ZBC2 kupitia Azam wapo live mkuuVip gemu itaonyeshwa live? Na ni channel ipi
Hii ni hatua ya mtoano mkuu home&away,sio ligi ya kupata points kama hatua ya makundi tuliyotoka.Sioni sababu ya kukosa point 3