FT: Kaizer Chiefs 4-0 Simba SC | Klabu Bingwa Afrika CAFCL | FNB Stadium

FT: Kaizer Chiefs 4-0 Simba SC | Klabu Bingwa Afrika CAFCL | FNB Stadium

Simba mna viporo vingi kisingizio mechi za nje. Tatizo timu za bongo hazielewi mechi nyingi ndio mazoezi yenyewe badala yake mnazikimbia na kutaka kuwa na viporo vya kutosha
Tatizo timu zetu hazina wachezaji bora, mchezaji akishuka kiwango huko duniani ndio anakuja bongo tunanua magazeti 4 yanampamba balaa.
 
Tabia ya kukimbia viporo sio ya simba pekee bali timu zote za bongo zikipata mechi za nje. Ikikomeshwa hii tabia soka litapanuka zaidi
Viporo vingi vingapi, ni viwili tu. Ukitoa game ya yanga ambayo hiyo huwezi kutulaumu. Ktk msimu ratiba ilikaa kdogo vzuri basi ni huu.
 
Hii tabia ya kutokucheza game,kisa mnasubiria mechi za kimataifa haya ndiyo matunda yake.

Lazima ukose utimamu wa mchezo. Tungepiga game kadhaa hapa ingesaidia sana.
ahahaha,
si mlijiona wajanja kutukimbia.

*****!

mlijiona wajanja kubebwa na tff,ahahaha!

eti hamtaki muumizwe!

ahahaha
 
Beki Leo zimetuangusha. Lakini Kaizer Chief Wanafungika hata Goli Tano. Kama Ilivyokuwa kwa As Vita Nina Hakika Dar Tutashinda Zaidi ya Goli 4 Tulifanya Hivyo kwa As Vita, Fc Platnumz Hakika Tutaishangaza Afrika
 
Beki Leo zimetuangusha. Lakini Kaizer Chief Wanafungika hata Goli Tano. Kama Ilivyokuwa kwa As Vita Nina Hakika Dar Tutashinda Zaidi ya Goli 4 Tulifanya Hivyo kwa As Vita, Fc Platnumz Hakika Tutaishangaza Afrika
Msijidangnye, hawa jamaa hawatakubali kunyang'anywa tonge mdomoni kirahisi
 
Bado sijakata tamaa, ila kuna cha kujifunza kidogo juu ya hii aibu tuliyoipata.

Najua baada ya hii mechi mitandaoni kutakuwa ni sehemu mbaya sana kwa Mashabiki wa Simba Sc, me binafsi nadhani nitajipa likizo kidogo na kama ni humu jF nitawekeza muda wangu mwingi kwenye jukwaa la siasa[emoji28].

Najaribu kufikiria tu, kama mimi naumia kiasi hiki kwa baadhi ya comments za dhihaka juu ya Simba Sc huko mitandaoni kiasi kwamba siitamani hata simu yangu, vipi wale watu ambao huwa wanapata mashambulizi ya mitandaoni(cyber bullies)[emoji848]?

NB;Hii game imeshakuwa ngumu kwetu, labda tufanye maajabu kama yale ya Liverpool fc kumfunga Barca pale Anfield.
 
Tukubali game plan yetu imegonga mwamba. Kocha wetu amezidiwa ujanja kwa Leo. Simba hii INA rekodi ya kufunga 5 bila hapa nyumbani. Sijakata tamaa!!!
Hakuna kukata tamaa mpaka dakika 90 za mechi ya pili[emoji870]
 
Back
Top Bottom