FT: Kaizer Chiefs 4-0 Simba SC | Klabu Bingwa Afrika CAFCL | FNB Stadium

FT: Kaizer Chiefs 4-0 Simba SC | Klabu Bingwa Afrika CAFCL | FNB Stadium

Aisee daaah .
Habari za usiku ndugu zangu.
Macho yangu ndo yameshuhudia kipigo hicho au naota?

Simba hawa ambao tumewapa ndege na bado tukawapa watangaze utalii, leo hii ndo kimetokea hicho?

Keizer 4-0 simba.
Siiioni tena simba kwenye michuano ya kimataifa msimu huu.
Tukutane mwakani.
 
[emoji23][emoji23]tatizo lilianzia apa kwa mpishi wa biriani
20210515_210227.jpg
 
Simba hii na kocha wao "komez" walikuwa hyper -rated. Sasa wamfukuze kocha kama yanga maana kwa mkapa wanapigwa tena japo 2g
 
Simba wamuondoe manara warudishe PR chanya kwa wananzengo. Manara ni mzigo mtake mstake.
 
Wazee wa 4G! Na kwenye ile mechi na Yanga huenda wangekula 3G! Waishukuru Wizara na Mlezi wao Wallace Karia.
 
Back
Top Bottom