NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
Nimesikia usingizi ghafla tu.Muda wa kulala bado.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimesikia usingizi ghafla tu.Muda wa kulala bado.
Tupate goli la ugenini hata kusawazisha tunawezahalf time 2 bila, tutatoka kweli??
Ushaambiwa game saa moja ukawahi ili upate sababu ya kukimbia, mna bahati tungewageuza punching bag.Nani kamkimbia mwenzie,mimi nilifika saa kumi na moja wewe ulikiwepo wapi.
Narudia tena jamani uzalendo uzalendo uzalendo muhim sana,tuwe pamoja mpaka dk ya mwisho msinyanyuke kwenye viti.
ingekuwa Luis hapa tungeshahesabuJamaa yuko slow sana. Mpira wa kuunganisha anatuliza na bado akapiga pumba.
Mkuu hii game bado, naamini Simba Sc hawatarudi kama kipindi cha kwanza.Nimesikia usingizi ghafla tu.
Zba masikioNimesikia usingizi ghafla tu.
Uoga hasa bekiNi over confidence au uoga?
Luis yuko sharp hapo ingekuwa goal.ingekuwa Luis hapa tungeshahesabu
Nyie mlijipiga risasi wenyewe....mgecheza game ya coastal union...wiki mbili bila competitive game ni tatizo.Hii ni Laana ya Manara.
Kumbe huwa mpo, leo mmeamua kuja kuunyea huu uzi[emoji28].Piga hayo makima
Over confidence.Ni over confidence au uoga?