Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kama shs ngapi za kibongo?Mwamba AZIZ anakabidhiwa R,5000 si mchezo
Lak 7.8 hivi,Ni kama shs ngapi za kibongo?
Mechi ambayo mlishinda kwa nguvu ya maduka yenu mliyoyaweka ndani ya Simba?Na lile la kono 5...uliacha angalia dk ya ngapi mkuu..😀😀
Msipende kwenda kukopa mbali,haya leo tumewalipia deni lenuAisee
Nimecheka sana mkuuMsipende kwenda kukopa mbali,haya leo tumewalipia deni lenu
Nyie mbona mnacheza mechi na vitimu vya kuungaunga chumbani matokeo mnaleta hadharaniNi sawa na kumpiga mwakinyo ngumi moja mazoezini...
Halafu mtaani unatamba, eti mwakinyo haniwezi..
Ukuona yanga odds zilikuwa 4 kwa walio wai kubet hasubui.Kampa nani?
Majeraha,majeruhi ni mtu mwenye majerahaMsimu huu kama Dube hatopata majeruhi, hutokaanga chips,maana zile tano walizokula tuliwakosa clear chance kama saba.Sasa tuna Dube....... yaaaaaani......
Yaani Dube akiwa available kwa asilimia hata 80,basi hakosi goli 25 maana tuna wapishi wengi mnoooo.....
Naitunza mkuuitunze hii maana tutakushangaza