Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alisikika mlevi mmoja wa makurunge kwa kivuzi akinenaCha ajabu Yanga hata robo hatafika CCL
Lazima tufufue kama nyie mlivyokubali kuvalishwa SANDA mkiwa wazimaMnafufua
Mkuu mimi nivae sanda? Nitake raziLazima tufufue kama nyie mlivyokubali kuvalishwa SANDA mkiwa wazima
Lazima amkwepe.Nilisubiri sana nimuone Nabi akisalimiana na Gamondi, sijui kwanini Nabi alikuwa anamkwepa mwenzie.
Mko driven sana na emotions!?Nilisubiri sana nimuone Nabi akisalimiana na Gamondi, sijui kwanini Nabi alikuwa anamkwepa mwenzie.
CVipi kaizer leo ilikua team C au B au A?
Hamuendi kukutana na Simba ya kina Saido na Chama.Kuanua matanga au sio..😅😅
Bora hata hao Kaizer kajitahidi hajafungwa tano kuliko Simba.Kaizer chief ilishajiishia kitambo tu
🤣🤣🤣kwa kifupi tutawashangaza sanaNdivyo itakavyokua msimu mzima jiandae kisaikolojia
itunze hii maana tutakushangazaCha ajabu Yanga hata robo hatafika CCL