Kakumamoto
JF-Expert Member
- May 6, 2015
- 1,237
- 1,696
Mnauhakika hawa jamaa wako serious na hili kombe kama sisi?!?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole ndo ukubwa 😎🤏🏾😊Sio hiyo kaiza ya wapika mbege jidanganye😜
Kaizer hawako serious kabisaMnauhakika hawa jamaa wako serious na hili kombe kama sisi?!?!
Maumivu yakizidi muone dactari..😅😅Mechi ishaisha hii ngoja nikafanye mambo mengine. Hongereni member wa Batiki.
HaKunaga mashabiki wa simba wa hivi , acha utapeli bro.simba tujipange kisiasa
Bila nguvu za mababu hapa hatutoboi😂😂
Tofokasi na nguvu za giza
Tukutane tarehe 8.Maumivu yakizidi muone dactari..😅😅
Kabisa, bongo kinacho tusumbua ni ushabiki, ila hawa wasauzi hawana muda na hili kombe la Toyota, wanacheza kama matizi. Though wanaweza kua wamejifunza kitu.Kaizer hawako serious kabisa
Kuanua matanga au sio..😅😅Tukutane tarehe 8.
Magoli ya Yanga yamefungwa na akina nani?
Magoli ya Yanga yamefungwa na akina nani?
MnafufuaEnemy of your Enemy is Your ENEMY
UBAYA UBWELA[emoji41]View attachment 3055242
Hakuna cha uchawi hicho kilabu kwa sasa ni cha mbege hakina jipya.Uchawi upo mtani
🚮Hakuna uchawi hicho kilabu kwa sassa ni cha mbege hakina jipya.