Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
Wakifungwa namnunulia mama watoto zawadi ya kitenge, ni shabiki kindaki ndaki wa hawa vyura.Piga hau utopox,uzuri Nabi anaijua team yake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakifungwa namnunulia mama watoto zawadi ya kitenge, ni shabiki kindaki ndaki wa hawa vyura.Piga hau utopox,uzuri Nabi anaijua team yake.
Kampa nani?Waznani? wakubet hizi odds za yanga kanjibai anaenda kufilisika.
Mimi kesho nikitoka Job napitia Batiki la mama watoto niandike Jina la mwanae mgongoniWakifungwa namnunulia mama watoto zawadi ya kitenge, ni shabiki kindaki ndaki wa hawa vyura.
Zitawapendeza sana.Mimi kesho nikitoka Job napitia Batiki la mama watoto niandike Jina la mwanae mgongoni
Kabisa,Naona Rais wa Yanga mbaguzi hasalimii watoto hapa Naona match greetingsZitawapendeza sana.
Washaanza kuirusha!!?Hivi hii na AZAM wanairusha au DSTV pekee? Maana DSTV walishatangaza wanairusha! Tuanze kujipanga mapema ku-update DSTV kwa kifurushi isije ikafika saa 10 unawasha TV unakutana na viwanjani leo
YesHuu ni wimbo wa taifa unaimbwa? Aisee.
Kichwa kinawaza batiki.Kabisa,Naona Rais wa Yanga mbaguzi hasalimii watoto hapa Naona match greetings
Anamuogopa Chama na Baleke.Nabi kama anaogopa hv
Hata we usingeogopa mkuuNabi kama anaogopa hv
Kaizer 2 Yanga 1nipeni ubahiri wenu, nataka kuifata hii mechi kwa 25K