FT: Kaizer Chiefs FC 0- 4 Young African SC | Toyota Cup | Free State Stadium, Bloemfontein | 28.07.2024

FT: Kaizer Chiefs FC 0- 4 Young African SC | Toyota Cup | Free State Stadium, Bloemfontein | 28.07.2024

Mivyura bhana,wameogopa kuvaa uzi wao mpya leo wakijua kuwa wakikandwa kinyota inakua ndio watakua wa kukandwa msimu mzima.

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Hivi hii na AZAM wanairusha au DSTV pekee? Maana DSTV walishatangaza wanairusha! Tuanze kujipanga mapema ku-update DSTV kwa kifurushi isije ikafika saa 10 unawasha TV unakutana na viwanjani leo
Washaanza kuirusha!!?
 
Back
Top Bottom