Tukumbushane tu hii Ken Gold haijawahi kushinda hata mechi moja tangu ilipopanda daraja. Kwa hiyo ikipigwa leo kipigo cha mbwa mwizi, muwe tu wapole.
All in all, naitakia timu ya Wananchi Young Africans
Lolote liwakute yangaπ°πππππ ππππ°
π #NBCPremierLeague
β½οΈ KEN GOLD vs YANGA Sc
saa 10 kamili jioniView attachment 3106120
Kikosi kinachoanza dhidi ya Ken Gold SCπ°πͺπ½View attachment 3106339
Wale wakuua mende kwa nyundo.π°πππππ ππππ°
π #NBCPremierLeague
β½οΈ KEN GOLD vs YANGA Sc
saa 10 kamili jioniView attachment 3106120
Kikosi kinachoanza dhidi ya Ken Gold SCπ°πͺπ½View attachment 3106339
Inachekesha sana π€£Kikosi kinachoanza dhidi ya Ken Gold SCπ°πͺπ½
View attachment 3106340
Unajilisha upepo π€£π€£π€£Kuna wachezaji watatu wa Real Madrid kwenye kikosi cha Yanga. Leseni walipewa lini?
Kwa Nini mtaniInachekesha sana π€£
Pwenti tatu muhimuWale wakuua mende kwa nyundo.
Mkikosi wote huo wa nini kwa team ndogo kama Kengold?
Lengo ni point 3?Pwenti tatu muhimu
Kengold wanaitisha YangaKwa Nini mtani
Haiwezekani tutafungwaKengold wanaitisha Yanga
Hii game ilikuwa ya akina Shekhan...
Ka mechi kama haka anadaka Diarra? π€£π€£π€£
Kufungwa haiwezekani, ila ndio naona hii game kama kuua Mende kwa NyundoHaiwezekani tutafungwa