FT: Kombe la Shirikisho: Rivers United 0-2 Young Africans. 23, 04, 2023

Wanaija Kandeni huo mshono na maji ya motooo ufumuke....
Eee mbwai mbwai tuuu
Nyie wakutuombea mabaya kwa waidadi nyieeee basi ngoja na sisi tufanye vivyo japo maombi yenu hayakujibiwa mnasubiria ya Ijumaa..
πŸ˜„ πŸ˜„

Mshono kama mshono! Acha kabisa. πŸ˜ƒ
 
Wewe ndio hujui.

Sasa unafikiri kombe ni lile bakuli au hela?

Kama huelewi nyie hata mchukue kombe mtaanbulia 2.9B wakati hiyo ni pesa ambayo anachukua mshindi wa pili aliyecheza Club Bingwa.
Acha uchawi bro, tunaweka rekodi em kuweni wapole.... mfikirie FA ya azam ndio kumbe mnaloshindania mpk sasa.
 
Sawa sawa
 
Wewe ndio hujui.

Sasa unafikiri kombe ni lile bakuli au hela?

Kama huelewi nyie hata mchukue kombe mtaanbulia 2.9B wakati hiyo ni pesa ambayo anachukua mshindi wa pili aliyecheza Club Bingwa.
We ndio una akili ndogo. Kinachogombewa ni kombe, pesa ni bonasi tu. Halafu unavyoongea utafikiri kombe la shirikisho hawapewi hela. Nyie makolo mna shida sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…