Wydad hii game wala hawakuitakaNa Bingwa wa CAFCL "WIDAD CASABLANCA" alipigwa na timu laini Berkane FC "Bingwa wa CAFCC" kwenye super cup 10/09/2022.
Aden Rage, Aden Rage, Aden Rage nimekuita mara 3 uje kuchukua Mbumbumbu lako huku [emoji3]View attachment 2597343
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Hongereni sana watanii...Hatujakataa, ila kumbuka jana nilikupongeza kwa ushindi dhidi ya Widad Casablanca, basi nipee nami pongezi hata kinafki tu Mtani [emoji4][emoji2960]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Mi nimeandika kupokonywa sio kwa maana ya kwamba kulikuwa kuna wababe walitumia maguvuWataje wachezaji wake muhimu waliopokonywa, timu haipokonywi mchezaji bali ni biashara hufanyika. Kama alimuachia mchezaji kama free agent basi ni wewe ndiye uliyeona umuhimu wake ila wao hawakuona umuhimu wake.
Je hawakusajili?
Umenishinda tabia ngoja nikuache Mtani [emoji119][emoji1]Vibonde wetu wamempata kibonde wao leo....
Hahaa mwambie aje aoneshe hayo mashallahKalpana warembo wote hawa wanakung'ong'a kwanini hutuletei Mashabiki wa Yanga ulivyojaliwa [emoji16]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Usijali ni ka utani tuuu...by the way nusu fainali mmeshatinga..Umenishinda tabia ngoja nikuache Mtani [emoji119][emoji1]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
[emoji849][emoji848]Unafikiri utani mkuu....yaniiii hawa mito ni washenzi sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dogo hizi dharau umeanza lini?
Kwani Mtani umekula nini leo lakini hadi umekuwa mkali kiasi hiki?Aat least ka kisasi kameonekana sio kale ka Ihefu kisasi halafu Ihefu wanawalipia kisasi goli la kujifunga....
IIla Ihefu kiboko yenu...uchawi wenu pale unadunda..
Ijumaa siyo mbali. Hivyo ujitahidi tu kuwa mpole. Maana Wydad ya Casablanca, ni tofauti kabisa na ile mliyocheza nayo jana.Uto tulizeni ngengaaaa Nusu fainali hamuingii
Bana wee, takwimu zinaonyesha hawa waliopo hatua ya robo fainali ndio wababe wa sasa. Na uwezo wao ndio umewafikisha hapo.Ni kweli walikuwa wababe kwasababu walikuwa na kikosi kizuri kuliko.walivyo sasa.
Team ambayo imeendelea kuwa na consistency ya kuwa na wachezaji wazuri naweza kusema ni Pyramids.
The rest ni wenzenu tu
Point yako ulisema kuwa ni heri anayeishia robo fainali klabu bingwa anakuwa anachukua pesa nyingi kuliko anayechukua kombe la CAF confederation. Nimekuoneaha kuwa anayebeba kombe la CAF confederation kamzidi kila kitu aliyeishia robo fainali klabu bingwa.Ukiwa broke utaona kupewa 100 ni bonge ya love.
Lakini kwa tajiri hiyo ni dharau.
Mtu ambaye anapata 1.5B kwenye michuano migumu ambayo sio rahisi wewe mwenye 500M ya NBC kuipata, utasemaje mwenye 500M ameheshimika?
Utaona ni heshima kwasababu ya umasikini wako, na ndio maana kila zinapotolewa rank za timu bora Africa haujawahi kutajwa licha ya kwamba una heshima ya kombe la NBC.
Mashindano makubwa hapa Afrika ni Club Bingwa tu.
Yeyote anayefanya vizuri kwenye hii michuano ndio mwenye nafasi kubwa ya kujimilikisha heshima.
Ni kweli mshindi wa confederation anachukua pesa nyingi kidogo kumzidi yule aliyefika robo ya Club Bingwa.
Lakini we jiulize, kwanini kuna gape dogo kwenye hiyo pesa kati ya mshindi wa federation na aliyetolewa kwenye robo ya Club Bingwa?
Maana yake ni kwamba huyu wa Club Bingwa akiwa katika hatua za chini anakuwa amefanya kazi kubwa sana ambayo ili kuilinganisha na level za confederation basi ni mpaka uongeze level mbili au tatu za juu ndio upate ratio sawa.
Uwezo kwa upinzani gani?Bana wee, takwimu zinaonyesha hawa waliopo hatua ya robo fainali ndio wababe wa sasa. Na uwezo wao ndio umewafikisha hapo.
Suala la wewe unawachukulia vipi, wala halina umuhimu. Sisi ngoja tupambanie kombe. Nyinyi si tayari mmetimiza lengo lenu la "robo fainali"?
Wewe huelewi na hunisomi vizuri.Point yako ulisema kuwa ni heri anayeishia robo fainali klabu bingwa anakuwa anachukua pesa nyingi kuliko anayechukua kombe la CAF confederation. Nimekuoneaha kuwa anayebeba kombe la CAF confederation kamzidi kila kitu aliyeishia robo fainali klabu bingwa.
Kwa sababu hao wachezaji 10 pia wamesajiliwa. Bado huna pointi.Kwa vikosi gani?
Kushiriki kombe kwasababu ni sheria ni tofauti na focus yenu ya kimahesabu kwamba mnajitoa kwa nguvu zote kupigania mlipate.
Sasa tumia maneno yasiyozidi 10 kuelezea kwanini wachezaji muhimu hawachezi mashindano hayo na badala yake vinaingizwa vikosi B au kufanya majaribio ya baadhi ya wachezaji?
Hujalielewa swali.Kwa sababu hao wachezaji 10 pia wamesajiliwa. Bado huna pointi.
Huyo ni Mwanaume wala si Ke hadi umuite "Tulia" ebu mtake radhi kwanza Mtani [emoji28]Tulia tutashona hyo midomo ijumaa
Hiyo 10 ni typo. Nina maana wachezaji hao unaowaita team B nao wamesajiliwa. Sijawahi kusikia team imesajili wachezaji wanaoitwa team B.Hujalielewa swali.
Swali halijauliza wachezaji 10.
Elewa swali kwanza
Hivi unafahamu kama hawa unaowaita viwete, walimpiga 2-1 hapo nyumbani kwao wauaji wenu wa Wydad Casablanca?Uwezo kwa upinzani gani?
Hivi hauoni hata aibu?
Wale viwete ni wakuwapigia hesabu kweli?