FT: Kombe la Shirikisho: Rivers United 0-2 Young Africans. 23, 04, 2023

FT: Kombe la Shirikisho: Rivers United 0-2 Young Africans. 23, 04, 2023

Wataje wachezaji wake muhimu waliopokonywa, timu haipokonywi mchezaji bali ni biashara hufanyika. Kama alimuachia mchezaji kama free agent basi ni wewe ndiye uliyeona umuhimu wake ila wao hawakuona umuhimu wake.

Je hawakusajili?
Mi nimeandika kupokonywa sio kwa maana ya kwamba kulikuwa kuna wababe walitumia maguvu

Uwe unasoma kama expert.

Kusajili ni kitu kingine

Kwani nyie yuko wapi kambole?
 
Ni kweli walikuwa wababe kwasababu walikuwa na kikosi kizuri kuliko.walivyo sasa.

Team ambayo imeendelea kuwa na consistency ya kuwa na wachezaji wazuri naweza kusema ni Pyramids.

The rest ni wenzenu tu
Bana wee, takwimu zinaonyesha hawa waliopo hatua ya robo fainali ndio wababe wa sasa. Na uwezo wao ndio umewafikisha hapo.

Suala la wewe unawachukulia vipi, wala halina umuhimu. Sisi ngoja tupambanie kombe. Nyinyi si tayari mmetimiza lengo lenu la "robo fainali"?
 
Ukiwa broke utaona kupewa 100 ni bonge ya love.

Lakini kwa tajiri hiyo ni dharau.

Mtu ambaye anapata 1.5B kwenye michuano migumu ambayo sio rahisi wewe mwenye 500M ya NBC kuipata, utasemaje mwenye 500M ameheshimika?

Utaona ni heshima kwasababu ya umasikini wako, na ndio maana kila zinapotolewa rank za timu bora Africa haujawahi kutajwa licha ya kwamba una heshima ya kombe la NBC.

Mashindano makubwa hapa Afrika ni Club Bingwa tu.

Yeyote anayefanya vizuri kwenye hii michuano ndio mwenye nafasi kubwa ya kujimilikisha heshima.

Ni kweli mshindi wa confederation anachukua pesa nyingi kidogo kumzidi yule aliyefika robo ya Club Bingwa.

Lakini we jiulize, kwanini kuna gape dogo kwenye hiyo pesa kati ya mshindi wa federation na aliyetolewa kwenye robo ya Club Bingwa?

Maana yake ni kwamba huyu wa Club Bingwa akiwa katika hatua za chini anakuwa amefanya kazi kubwa sana ambayo ili kuilinganisha na level za confederation basi ni mpaka uongeze level mbili au tatu za juu ndio upate ratio sawa.
Point yako ulisema kuwa ni heri anayeishia robo fainali klabu bingwa anakuwa anachukua pesa nyingi kuliko anayechukua kombe la CAF confederation. Nimekuoneaha kuwa anayebeba kombe la CAF confederation kamzidi kila kitu aliyeishia robo fainali klabu bingwa.
 
Bana wee, takwimu zinaonyesha hawa waliopo hatua ya robo fainali ndio wababe wa sasa. Na uwezo wao ndio umewafikisha hapo.

Suala la wewe unawachukulia vipi, wala halina umuhimu. Sisi ngoja tupambanie kombe. Nyinyi si tayari mmetimiza lengo lenu la "robo fainali"?
Uwezo kwa upinzani gani?

Hivi hauoni hata aibu?

Wale viwete ni wakuwapigia hesabu kweli?
 
Point yako ulisema kuwa ni heri anayeishia robo fainali klabu bingwa anakuwa anachukua pesa nyingi kuliko anayechukua kombe la CAF confederation. Nimekuoneaha kuwa anayebeba kombe la CAF confederation kamzidi kila kitu aliyeishia robo fainali klabu bingwa.
Wewe huelewi na hunisomi vizuri.

Na sikushangai kwasababu umelewa vibe la ushindi.

Nimesema hivi, nyie hata mfike nusu bado hamtafikia thamani ya pesa ambayo sisi tumeipata kwa hatua hii.

Nikaongeza pia kuwa hata ikitokea mkachukua kombe bado thamani ya pesa mtayopata haitofanana na pesa anayochukua mshindi wa pili.

Sijui kama unanielewa vizuri hapo.

Baadhi ya vitoga wakadai kombe ni muhimu nikawapa hiyo mifano yakuonesha kombe linaweza likawa pointless kwa some factors
 
Kwa vikosi gani?

Kushiriki kombe kwasababu ni sheria ni tofauti na focus yenu ya kimahesabu kwamba mnajitoa kwa nguvu zote kupigania mlipate.

Sasa tumia maneno yasiyozidi 10 kuelezea kwanini wachezaji muhimu hawachezi mashindano hayo na badala yake vinaingizwa vikosi B au kufanya majaribio ya baadhi ya wachezaji?
Kwa sababu hao wachezaji 10 pia wamesajiliwa. Bado huna pointi.
 
Hujalielewa swali.

Swali halijauliza wachezaji 10.

Elewa swali kwanza
Hiyo 10 ni typo. Nina maana wachezaji hao unaowaita team B nao wamesajiliwa. Sijawahi kusikia team imesajili wachezaji wanaoitwa team B.
 
Back
Top Bottom