HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Ndo tujipange hapo, maana wao watageuza na kusema Kimataifa, hutawasikia wakiongelea ShirikishoNi vile wana midomo tu, mashindano ya Kombe la Shirikisho huwezi kulinganisha na Klabu Bingwa Afrika