FT: Kombe la Shirikisho: Rivers United 0-2 Young Africans. 23, 04, 2023

FT: Kombe la Shirikisho: Rivers United 0-2 Young Africans. 23, 04, 2023

Kwa hiyo yamekuwa mashindano ya hela na sio kombe tena?
Wewe ndio hujui.

Sasa unafikiri kombe ni lile bakuli au hela?

Kama huelewi nyie hata mchukue kombe mtaanbulia 2.9B wakati hiyo ni pesa ambayo anachukua mshindi wa pili aliyecheza Club Bingwa.
 
View attachment 2596907

ANAITWA NAZIRU AUWALU mshambuliaji wa TIMU YANGU YA UTOTONI YA RIVERS UNITED ya Nigeria [emoji1184] huko huyu anafunga hata akiwa benchi anakabwa na mabeki 7 mechi 10 anagoli 48 kacheza Aston Villa kila la kheri RIVERS UNITED amesema asipofunga leo anaacha kucheza mpira RIVERS UNITED NGUVU MOJA[emoji91][emoji91][emoji91][emoji1184][emoji1184][emoji1184]

Umeona jinsi umefeli, hata maisha ukitabiri ww unafeli
 
Pole na boda boda yako
AE679CA3-BA68-4B41-A5A9-A6CE78EB7871.jpeg
 
Back
Top Bottom