Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
AahaaaaaUgumu na upima kupitia performance
Timu ngumu nyingi haichezi hayo mashindano
Kichaka pekee mlichobaki nacho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AahaaaaaUgumu na upima kupitia performance
Timu ngumu nyingi haichezi hayo mashindano
Mna miaka karibia 30 makundi tu ya champions league hamyajui,, fikeni tu hata makundi kama rahisiAaahaaaa
Umelisahau mnapata na kombe lenu la Robo Fainali mshalipata
Mi sio Usain Bolt kama nyieJinsi unavyopitia ugumu wakati huu kwa kukwepa huu uzi [emoji16]View attachment 2597287
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
AahahaaaaVibonde wetu wamempata kibonde wao leo....
🤣🤣🤣🤣Aaaaaah wapiiiiiiiiii nitakufa na kurise again
AahaaaaaaaHuyu rivers ni bingwa wa ndondo cup ya viwete
Unafikiri utani mkuu....yaniiii hawa mito ni washenzi sanaAahahaaaa
Roho inakuuuuuumaaaa
Acha waje kwa Mkapa tutoe gundu la kufungwa na SimbaUnafikiri utani mkuu....yaniiii hawa mito ni washenzi sana
Kwa vikosi gani?Kombe la mapinduzi halishobokewi kivipi wakati kila mwaka mnaenda kushiriki?
AahahhaaaaaChama Baleke kama taarifa huna, tumebeba ID yako ya zamani. Sasa inashangilia Yanga 😆😆😆😆
Na leo tumepindua meza kwa kina Brother Benard...
Nikuletee panado?Uto tulizeni ngengaaaa Nusu fainali hamuingii
Kichaka pekee mlichobaki nachoKwa vikosi gani?
Kushiriki kombe kwasababu ni sheria ni tofauti na focus yenu ya kimahesabu kwamba mnajitoa kwa nguvu zote kupigania mlipate.
Sasa tumia maneno yasiyozidi 10 kuelezea kwanini wachezaji muhimu hawachezi mashindano hayo na badala yake vinaingizwa vikosi B au kufanya majaribio ya baadhi ya wachezaji?
Inadunda labda mwarobainiNikuletee panado?
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]