FT: KVZ 0 - 2 Simba | Nusu Fainali Kombe la Muungano | Amani Stadium | 24/04/2024

FT: KVZ 0 - 2 Simba | Nusu Fainali Kombe la Muungano | Amani Stadium | 24/04/2024

Duh, kama ulikuwa hukijui kitu kinaitwa nongwa ndo hichi sasa....!

Okrah alishapona...kacheza mechi kadhaa, We bado unalo tu.
Uwe unasoma na kuelewa wapi nmesema okrah bado mgonjwa na nhachezi kwenye hiyo comment?
 
Kwa jicho langu, sidhani kama BENCHIKA ana jipya sana...
 
haya ndiyo mashindano yenu na hili kombe litawafariji
1000050482.jpg
 
Back
Top Bottom