FT: Ligi Kuu Bara | Dodoma Jiji FC 0-1 Simba SC | Jamhuri Stadium 22/01/2023

Kibu na Bocco watoke tu waingie Okrah na Mohammed Mussa. Kazi aliyepaswa kuifanya Kibu haifanyi, hapigi pasi nzuri akiwa na mpira, harudi kukaba.
 
Saidoo hayuko kwenye form kabisa. Sjui kala maharage ya wapi leo.
Kwani si ndiyo huyu huyu aliyecheza mechi 2 tu na kutupia goli 5! Mpeni muda bhana!

Si umeona hata Kepteni John Bocco na yeye anamfukuzia Mayele kutwaa kiatu cha dhahabu msimu huu!!
 
Leo defence ya simba ...ni kuomba tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…