FT: Ligi Kuu Bara | Geita Gold FC 1-1 Simba SC | Uwanja wa CCM Kirumba | Leo Mei 22, 2022

FT: Ligi Kuu Bara | Geita Gold FC 1-1 Simba SC | Uwanja wa CCM Kirumba | Leo Mei 22, 2022

Screenshot_20220522-202137.png
 
Sasa kwanini mteleze
Kwani wewe hujawahi kuteleza katika maisha yako? Kuteleza ni jambo la kawaida katika maisha ya binadamu. Kwa hiyo hakuna kitu cha ajapu na kipya katika hilo. Ni kama vile Yanga walivyokuwa wanateleza kwa miaka 4 mfululizo hawajatwaa ubingwa. Sasa wamesimama na kuchukua ubingwa.
 
Kuteleza sio kawaida na haitakiwi kuwa kawaida
Kwani wewe hujawahi kuteleza katika maisha yako? Kuteleza ni jambo la kawaida katika maisha ya binadamu. Kwa hiyo hakuna kitu cha ajapu na kipya katika hilo. Ni kama vile Yanga walivyokuwa wanateleza kwa miaka 4 mfululizo hawajatwaa ubingwa. Sasa wamesimama na kuchukua ubingwa.
 
Huu usimba na uyanga wenu utawauweni kabla ya siku zenu.

Yanga akiwa juu tu basi hata kama kuna jema simba alilofanya halitazamwi, hivyohivyo na simba akiwa juu hata kama kuna jema lililofanywa na yanga halitazamwi.
 
Kama kuna mwana Simba alikuwa na matumaini ya ubingwa msimu huu......basi anatakiwa akapimwe akili...... mwenendo wa timu na mipango ya timu haionyeshi kuwa timu itakuja kuchukua UBINGWA hivi karibuni.....naanza kupatiwa na wasi wasi na ndugu muwekezaji kama kweli na mipango ya kunyanyua Simba au ni ujanja ujanja tu.........
Kwani Simba ina mpango na ligi ya NBC?....Simba kombe letu ni la CAF tu, Huku nyumbani tunawaachia Yanga.
 
Wataalamu wa kukokotoa mtuambie point gap ni ngap ? na zimebaki game ngap ligi kuisha .
4 tu...... Mikia wakishinda mechi zote wanafikisha points 66,tukishinda kesho tunazifikisha na kuwa mabingwa maana tumewazidi magoli ya kufunga
 
Tunamsubiria Inonga hiyo 28
Kocha wake kwenye post match interview alidai ni majeruhi.......watapata visingizio hawa tarehe 28, maana kuna Manula kakatwa nakioo, Kapombe kaumia pamoja na Bocco, Inonga haeleweki...... Chama alitoka na injury RS Berkane.....hayo yote kayasema kocha wao......
 
Kocha wake kwenye post match interview alidai ni majeruhi.......watapata visingizio hawa tarehe 28, maana kuna Manula kakatwa nakioo, Kapombe kaumia pamoja na Bocco, Inonga haeleweki...... Chama alitoka na injury RS Berkane.....hayo yote kayasema kocha wao......
Sasa Manula kakatwa na kioo Tena .... Saloon za like alifuata Nini .....
 
Back
Top Bottom