FT: Ligi Kuu Bara | Simba SC 1-0 Namungo FC | Stade de Benjamin Mkapa 16/11/2022

Unajua maana ya kujihusisha na dawa za Kulevya? Au akili yako ni Kiutopolo topolo huwezi Kung'amua hilo

Halafu mbona kama umeng' aka mno shida ni nini.!?
Tuhuma za kujihusisha?kiswahili mbona rahisi sana hicho bwana ngada? anyway leo kibu apunguziwe kiwango cha ngada nna uhakika atatupia.
 
Mara ya mwisho kukutana Simba SC waliibuka na ushindi 1-0 dhidi ya Namungo FC likifungwa na Maddie Kagere dakika za lala salama.
 
ALikutwa na kilo ngapi za ngada? Maana huko kwa SImba mwamba kakutwa na kilo 34.89..!! Haya taja kilo alizokutwa nazo Manji
Jamaani nimeleta tu kumbukizi kuwa haya mambo yanazunguka na nimefunga mjadala kuanzia sasa

Na kama nimewatekenya Kiungo basi niwie radhi wakuu [emoji16]

Simba SC Vs Namungo FC ndo muda wake yaani.. Nguvu Moja [emoji881]
 
Unajua maana ya kujihusisha na dawa za Kulevya? Au akili yako ni Kiutopolo topolo huwezi Kung'amua hilo

Halafu mbona kama umeng' aka mno shida ni nini.!?
Kolo a.k.a mbumbumbu a.k.a mwana ngada FC, tofautisha tuhuma za kujihusisha na ngada na kudakwa na ngada..!! Unakumbuka LISU alikataa kupimwa mkojo?? Unajua sababu??
 
Mchezo utakua mgumu kwa pande zote mbili
 
Anakuja na Style tofauti baadala ya ile ya Kunyunyiza. Pape Sakho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…