Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Anakuja na Style tofauti baadala ya ile ya Kunyunyiza. Pape SakhoView attachment 2418542
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anakuja na Style tofauti baadala ya ile ya Kunyunyiza. Pape SakhoView attachment 2418542
Leo tunawauwa mapema tu hawa mkuu.Mara ya mwisho kukutana Simba SC waliibuka na ushindi 1-0 dhidi ya Namungo FC likifungwa na Maddie Kagere dakika za lala salama.
Ushindi wa magoli mawili mkuu japo mechi haitakuwa rahisi.Unategemea ushindi wa mabao mangapi mkuu..! Kulingana na performance ya Timu kwenye mechi mbili zilizopita.
Na hasa kukosekana Clatous Chama.
Nakazia[emoji419]Ushindi wa magoli mawili mkuu japo mechi haitakuwa rahisi.
NGUVU MOJA
Hii inaitwa Makasa mende Style..Nguvu1Anakuja na Style tofauti baadala ya ile ya Kunyunyiza. Pape SakhoView attachment 2418542
Dah mmetukomalia wapuuzi mpaka msahau mtatutesa.
Hilo liliodumu mbona halina makali?Limedumu la MBUMBUMBU FC lije lipite la NGADA FC..!!?? Nani kasema?
Kwani mbumbumbu ana uwezo wa kuona makali?Hilo liliodumu mbona halina makali?
Kwani kuwa mbumbumbu kuna uhusiano upi na macho kiasi iwe ngumu kuona makali?Kwani mbumbumbu ana uwezo wa kuona makali?
Unaona sasa uanazidi kuthibitisha..!!Kwani kuwa mbumbumbu kuna uhusiano upi na macho kiasi iwe ngumu kuona makali?