inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Huko bahasha zishatembeaNi siku nyingine tena ya kufurahi kutoka kwa Simba SC..Pape Sakho yupo tayari kwa burudani ya viwango vya CAF kwenye Ligi KuuView attachment 2418466
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huko bahasha zishatembeaNi siku nyingine tena ya kufurahi kutoka kwa Simba SC..Pape Sakho yupo tayari kwa burudani ya viwango vya CAF kwenye Ligi KuuView attachment 2418466
Hiyo ni mupya mkuu hio ni mupya tena inatakiwa iongozwe na Sakho au Zimbwe Jr, 😂Itapendeza sanaaa na wakifunga bao wanashangilia kiteja unaijua hiyo style lakini mkuu?.
Shida ni namna SImba walivyotoa tamko lao..!! Hawakutakiwa kumkana mwamba kwamba hakuwa na mkataba..!! Walitakiwa waseme huyo ni mwajiliwa/kibarua wetu (hata kama ni kwa mwezi tu) lakini aliyoyafanya Simba hawahusiki nayo..!! Mbona walishawahi mkana Manara aliposema kwenye mechi ya Simba waje wapenzi wa Simba pekee?? AU hata Makonda alishawahi kanwa na serikali pale serikali iliposema alichokisema Makonda si msimamo wa serikali..!!Mimi mwenyewe naunga mkono hoja huyo pimbi aliekamatwa aadhibiwe haswaa. Ila kulihusisha na club nzima ya simba hapa tutapingana
Yani hii zimbwe ndo ataiweza na hivyo mwembamba akitoa macho yake huku anapepesuka kidogo hiviiHiyo ni mupya mkuu hio ni mupya tena inatakiwa iongozwe na Sakho au Zimbwe Jr, 😂
Tulia tuu ndo wameshasema na wameona wako sawa na sisi tunawaunga mkono. Kesi ya dawa za kulevya najua unazijua. Hivyo ni bora kumkana kwa sbb Simba haikumtuma kufanya huo ufirauniShida ni namna SImba walivyotoa tamko lao..!! Hawakutakiwa kumkana mwamba kwamba hakuwa na mkataba..!! Walitakiwa waseme huyo ni mwajiliwa/kibarua wetu (hata kama ni kwa mwezi tu) lakini aliyoyafanya Simba hawahusiki nayo..!! Mbona walishawahi mkana Manara aliposema kwenye mechi ya Simba waje wapenzi wa Simba pekee?? AU hata Makonda alishawahi kanwa na serikali pale serikali iliposema alichokisema Makonda si msimamo wa serikali..!!
Sawa mwana ngada FCTulia tuu ndo wameshasema na wameona wako sawa na sisi tunawaunga mkono. Kesi ya dawa za kulevya najua unazijua. Hivyo ni bora kumkana kwa sbb Simba haikumtuma kufanya huo ufirauni
Waliamua kuwatoa watu mchezoni ili kujitoa kwenye lawama zisizo na msingi mkuu, hio ni kadhia kwa brand ya Simba sio nationally tu hata internationally, hata ingekua ni mimi nakukana hilo bomu umelichezea vibaya basi wewe lipuka nalo mwenyewe,Shida ni namna SImba walivyotoa tamko lao..!! Hawakutakiwa kumkana mwamba kwamba hakuwa na mkataba..!! Walitakiwa waseme huyo ni mwajiliwa/kibarua wetu (hata kama ni kwa mwezi tu) lakini aliyoyafanya Simba hawahusiki nayo..!! Mbona walishawahi mkana Manara aliposema kwenye mechi ya Simba waje wapenzi wa Simba pekee?? AU hata Makonda alishawahi kanwa na serikali pale serikali iliposema alichokisema Makonda si msimamo wa serikali..!!
Ndo wangeandika vizuri..!!! Kwa namna ya tamko lile, wamemkana mwamba hawajakana alichofanyaWaliamua kuwatoa watu mchezoni ili kujitoa kwenye lawama zisizo na msingi mkuu, hio ni kadhia kwa brand ya Simba sio nationally tu hata internationally, hata ingekua ni mimi nakukana hilo bomu umelichezea vibaya basi wewe lipuka nalo mwenyewe,
Yeeess au niite mwana unga unga au mapoudaaaaa si ndo unataka iwe hivyo Kinye fc?Sawa mwana ngada FC
Mkichukua ubingwa simba msimu huu NIITWE ASHURA CHEUSISimba nguvu moja
Kombe letu mwaka huu anaebisha afanye kama anajikuna
Hili mnalo mbumbumbu FC a.k.a Makolo FC a.k.a NGADA FCYeeess au niite mwana unga unga au mapoudaaaaa si ndo unataka iwe hivyo Kinye fc?
Mkishinda mechi ya leo niite JohariUzi umeshavamiwa na Vinyesi fc
Ndio iwe style watupe ladha ya kushangilia kitejateja,Yani hii zimbwe ndo ataiweza na hivyo mwembamba akitoa macho yake huku anapepesuka kidogo hivii
Wote wale wale pacha wako alikuwa na goalkeeper shogaYani ma uto yanalazimisha hyo ngada hata hainogi yani wanaweka popote ilimradi hana cha kuongea
Wakane alichofanya kwani wameshtakiwa wao?wao wamekana kwamba sio mfanyakazi wao kwa sbb wamesema kocha wa viungo wa simba....hyo kuhusu alichofanya ni yeye na waliomkamata.Ndo wangeandika vizuri..!!! Kwa namna ya tamko lile, wamemkana mwamba hawajakana alichofanya
Uko paleee..!!Mkishinda mechi ya leo niite Johari
Ukweli mtupu kanoute hawezi cheza kwa Lucas kikoti ni aibuLeo naona km Simba anaenda kudondosha point 3 anachukua km sio 1 basi atatoka mikono mitupu, msinipige mawe tafadharini sana
Kumbe wamemkana tu yeye ila hawajakana kwamba alikua muuza Ngada?Ndo wangeandika vizuri..!!! Kwa namna ya tamko lile, wamemkana mwamba hawajakana alichofanya
Sasa huo mwezi mmoja waliomuamba hakuwa mfanyakazi wao..??? Na mpaka anafanya tukio, hakuwa mfanyakazi wao..??? Hili limewaganda wana ngadaWakane alichofanya kwani wameshtakiwa wao?wao wamekana kwamba sio mfanyakazi wao kwa sbb wamesema kocha wa viungo wa simba....hyo kuhusu alichofanya ni yeye na waliomkamata.