Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Tukutane Lupaso au kwenye kideo mkuu😀😀😀Ndio iwe style watupe ladha ya kushangilia kitejateja,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tukutane Lupaso au kwenye kideo mkuu😀😀😀Ndio iwe style watupe ladha ya kushangilia kitejateja,
Hawajakana tukio, wamemkana mwamba..!! Cha ajabu sijui hawakuwa na kocha wa magolikipa..!!Kumbe wamemkana tu yeye ila hawajakana kwamba alikua muuza Ngada?
Sawa mkuu ila leo mechi ni ngumu km ile ya Azam weka mguu niweke Chuma, 😂Tukutane Lupaso au kwenye kideo mkuu😀😀😀
Limekuganda ww mwana kinyesi kwa sbb aliekamatwa ni mmoja Simba inaendelea na mambo yao,,timu inacheza leo kama kawaida mashabiki ndo hivyo yani tuna vibeeee kama siku zote..au unataka kisembe kidogo ustue ubongo😀😀😀Sasa huo mwezi mmoja waliomuamba hakuwa mfanyakazi wao..??? Na mpaka anafanya tukio, hakuwa mfanyakazi wao..??? Hili limewaganda wana ngada
Itakua ila si wameshamtangaza Kocha mpya tayari au na yeye apigwe sachi kabla?Hawajakana tukio, wamemkana mwamba..!! Cha ajabu sijui hawakuwa na kocha wa magolikipa..!!
Sasa mtu wamemkana, halafu unatangaza mwingine kuziba nafasi ya uliyemkana..!! Ni mbumbumbu tu anaweza akayafanya hayaItakua ila si wameshamtangaza Kocha mpya tayari au na yeye apigwe sachi kabla?
Mungu hana muda na wana ngadaMungu saidia mnyama
Hahahahaahaha hapo sasa na litamlipukia kweliWaliamua kuwatoa watu mchezoni ili kujitoa kwenye lawama zisizo na msingi mkuu, hio ni kadhia kwa brand ya Simba sio nationally tu hata internationally, hata ingekua ni mimi nakukana hilo bomu umelichezea vibaya basi wewe lipuka nalo mwenyewe,
KWani kwa ukubwa ule wa mzigo, unadhani ilikuwa ni mara ya kwanza? Yaani hapo arobaini zao tu zilikuwa zimefika..!! Kabla ya kukamilika kwa arobaini zao, kilo ngapi wamefanikiwa kupiga mihela?Sijui mara ngapi ila zinazosemekana zilizokamatwa ni hizo, au kuna zingine?
Yote sawa ndo mpira. Tunapokea matokeo yoyote Simba hatuna stressSawa mkuu ila leo mechi ni ngumu km ile ya Azam weka mguu niweke Chuma, 😂
Kalipuka na bomu lake la Ngada watu wamemkataa kwamba huyo sisi hatuhusu huyo acha alipuke peke yake tu, ila Ngada Fc mnajua kukana tuhuma yaan haikupita hata masaa mawili mtu ameshakanwa tayari 😂Hahahahaahaha hapo sasa na litamlipukia kweli
Kuna kesi na kesi mkuu kuna kesi zingine hata shetani anakukana. Hapo Simba wamecheza tiktaka 😀 😀Kalipuka na bomu lake la Ngada watu wamemkataa kwamba huyo sisi hatuhusu huyo acha alipuke peke yake tu, ila Ngada Fc mnajua kukana tuhuma yaan haikupita hata masaa mawili mtu ameshakanwa tayari 😂
Tusubiri ifike Saa 1:00 tushuhudie mtanange ila leo mechi ngumu Namungo hawanaga shughuli ndogo, 😂Yote sawa ndo mpira. Tunapokea matokeo yoyote Simba hatuna stress
Tunawajua vizuuuri ila point 3 zetu.Tusubiri ifike Saa 1:00 tushuhudie mtanange ila leo mechi ngumu Namungo hawanaga shughuli ndogo, 😂
Sawa mkuu tutaona dakika 90 zikiisha,Tunawajua vizuuuri ila point 3 zetu.
Ww tayari ni Ashura cheusi maana tushachukua kwenye akili zetu au unataka uthibitisho? 😀 😀 😀Mkichukua ubingwa simba msimu huu NIITWE ASHURA CHEUSI
Hamna stess [emoji2]Yote sawa ndo mpira. Tunapokea matokeo yoyote Simba hatuna stress