Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda mtumie hela za ngadaSimba nguvu moja
Kombe letu mwaka huu anaebisha afanye kama anajikuna
Naona ushaanza kujikuna nimekuona 😀 😀 😀Labda mtumie hela za ngada
Tulishaambiwa wenye akili ni wawili tuuYani ma uto yanalazimisha hyo ngada hata hainogi yani wanaweka popote ilimradi hana cha kuongea
Ngada ni ngada tu popote inaweza ikatokeaYani ma uto yanalazimisha hyo ngada hata hainogi yani wanaweka popote ilimradi hana cha kuongea
Mbumbumbu huwa hawaelewiTulishaambiwa wenye akili ni wawili tuu
Kweli wenye akili 2 tuu. Hahaha yani mm nacheka jinsi mababa wazima mlivyovalia njuga ngada.Ngada ni ngada tu popote inaweza ikatokea
Ngada inaharibu vijana, lazima ivaliwe njuga..!!Kweli wenye akili 2 tuu. Hahaha yani mm nacheka jinsi mababa wazima mlivyovalia njuga ngada.
Kilo 34 za Heroine, wamesema hivyo PolisiNgada inaharibu vijana, lazima ivaliwe njuga..!!
Hivi unafahamu kilo ngapi walishafanikiwa kupita nazo..???
UshindweLeo naona km Simba anaenda kudondosha point 3 anachukua km sio 1 basi atatoka mikono mitupu, msinipige mawe tafadharini sana
Waingine nao au wajipake usoni kabisa huo Unga ili Ngada Fc itimie kwenye Trend,Ajitokeze na mchezaji aibue na lingine hii ngada haitoshi. Au leo waingie na unga kabisa uwanjani waumwageeee 😀 😀 😀
Mimi mwenyewe naunga mkono hoja huyo pimbi aliekamatwa aadhibiwe haswaa. Ila kulihusisha na club nzima ya simba hapa tutapinganaNgada inaharibu vijana, lazima ivaliwe njuga..!!
Hivi unafahamu kilo ngapi walishafanikiwa kupita nazo..???
Umeona eee yani waje wanatembea kama mateja kabisa...Waingine nao au wajipake usoni kabisa huo Unga ili Ngada Fc itimie kwenye Trend,
Ndio hivyo mkuu sio kutembea tu leo uwanjani watoe burudan wacheze kitejateja itapendeza zaidi, 😂Umeona eee yani waje wanatembea kama mateja kabisa...
Hizo ni zile zilizokamatwa..!! Ninachokiuliza, kabla ya kukamatwa, walishafanikiwa mara ngapi kupita na mzigo ??Kilo 34 za Heroine, wamesema hivyo Polisi
Sijui mara ngapi ila zinazosemekana zilizokamatwa ni hizo, au kuna zingine?Hizo ni zile zilizokamatwa..!! Ninachokiuliza, kabla ya kukamatwa, walishafanikiwa mara ngapi kupita na mzigo ??
Itapendeza sanaaa na wakifunga bao wanashangilia kiteja unaijua hiyo style lakini mkuu?.Ndio hivyo mkuu sio kutembea tu leo uwanjani watoe burudan wacheze kitejateja itapendeza zaidi, 😂