FT: Ligi Kuu Bara | Simba SC 1-0 Namungo FC | Stade de Benjamin Mkapa 16/11/2022

FT: Ligi Kuu Bara | Simba SC 1-0 Namungo FC | Stade de Benjamin Mkapa 16/11/2022

Ajitokeze na mchezaji aibue na lingine hii ngada haitoshi. Au leo waingie na unga kabisa uwanjani waumwageeee 😀 😀 😀
 
Leo naona km Simba anaenda kudondosha point 3 anachukua km sio 1 basi atatoka mikono mitupu, msinipige mawe tafadharini sana
 
Ajitokeze na mchezaji aibue na lingine hii ngada haitoshi. Au leo waingie na unga kabisa uwanjani waumwageeee 😀 😀 😀
Waingine nao au wajipake usoni kabisa huo Unga ili Ngada Fc itimie kwenye Trend,
 
Ngada inaharibu vijana, lazima ivaliwe njuga..!!
Hivi unafahamu kilo ngapi walishafanikiwa kupita nazo..???
Mimi mwenyewe naunga mkono hoja huyo pimbi aliekamatwa aadhibiwe haswaa. Ila kulihusisha na club nzima ya simba hapa tutapingana
 
Hizo ni zile zilizokamatwa..!! Ninachokiuliza, kabla ya kukamatwa, walishafanikiwa mara ngapi kupita na mzigo ??
Sijui mara ngapi ila zinazosemekana zilizokamatwa ni hizo, au kuna zingine?
 
Back
Top Bottom