Nas Mapesa
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 5,286
- 5,421
Tehtehteh kibu denga lifowad letu la nchiKile kichwa unaruka juu kisha unadunisha chini, Sasa Kibu kasimama tu mpira umempiga kichwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tehtehteh kibu denga lifowad letu la nchiKile kichwa unaruka juu kisha unadunisha chini, Sasa Kibu kasimama tu mpira umempiga kichwa.
Bora aingie Kyombo au ikiwezekana tucheze na Striker mmoja tuAtoke Kibu aingie Kyombo[emoji16][emoji28]
Kweli mkuu huyu Kyombo kuna muda anazingua sana, nadhani kuna sababu kocha kumuweka bench japo sisi tunaona Kibu anafanya makosa ilan huwenda ana afadhali kuliko KyomboTatizo wakuingia ni nani,Kiyombo nae vile vile tu afdhali yake ni kidogo sana labda amjaribu Bocco na nje hatuna winga yoyote
Tukiubonda mwingi hamkawii kusema mmecheza na vibondemechi imepoa mnooo sijui kwa sababu wote ndugu moja
hawa namungo wakisikia ni mechi na yanga wanakakamaa hatari hapa wame devera hadi sio powa.
hao kwenu ni vibonde hawajawahi hata kuwashindaTukiubonda mwingi hamkawii kusema mmecheza na vibonde
Sakho ana speed nzuri ndani ya box...Ila yupo vzr sana sema hatuna shukurani popote anauzika
kwa waamuzi hawa wa bongo wataishia NBC tuWaamuzi wanajichanganya sana yaani
Nchi haina Waamuzi wa mchezo wa mpira
Speed ndani ya box? Au unazungumzia play stationSakho ana speed nzuri ndani ya box...
Makocha wakipatia style zuri ya ushambuliaji ana uwezo wa kuwatoka mabeki