FT: Ligi Kuu Bara | Simba SC 7-1 Tanzania Prisons | Uwanja wa Benjamin Mkapa 30/12/2022

Huu Uzi ndio nauona saa hizi..ila poa..naanza ukurasa wa kwanza..hivi ule utaratibu wa kututag sisi wadau wako uliacha@Ghazwat
 
Kwahiyo unakuwa bingwa bila kuongoza ligi 🤣?
Ubingwa ni tukio la mwisho, mechi hazijaisha hiyo nafasi inaweza kumilikiwa na mtu mwingine na ukakosa authenticity ya kauli yako
 
Kwani uongo ofsa?

We leo umefurahia magoli ya Bocco au Saidoo?
Leo nimeinjoi sana Straiker wetu mzawa mnaye mbebesha(ga) gunia la misumari timu ikikosa matokeo Adebayor mnashangilia......hii inaprove mnavyokula matapishi yenu
 
Ubingwa ni tukio la mwisho, mechi hazijaisha hiyo nafasi inaweza kumilikiwa na mtu mwingine na ukakosa authenticity ya kauli yako
Sasa unapoints zetu 3,mtapasuana na ndugu yako mtoto wa Dada Azam...... unadhani tutakuwa tunawasubilia Ferry?
 
Leo nimeinjoi sana Straiker wetu mzawa mnaye mbebesha(ga) gunia la misumari timu ikikosa matokeo Adebayor mnashangilia......hii inaprove mnavyokula matapishi yenu
Yap nalichukua hili kama jibu la kweli linalowakilisha mashabiki wengi wa Yanga kwasababu isingeweza kutokea mshabiki wa Yanga akafurahishwa na alichokifanya Saido wakati kila mmoja hakuwahi kufurahia kumuona akisajiliwa simba
 
Sasa unapoints zetu 3,mtapasuana na ndugu yako mtoto wa Dada Azam...... unadhani tutakuwa tunawasubilia Ferry?
Points zenu 3?

Unautani wewe hivi unajua balaa la Saidoo wewe? kuna wenzako kule jukwaani walikuwa wanasonya tu

Achana na hilo kuna kiumbe kinashuka dirisha dogo, huyo kiumbe ana balaa unaambiwa anafunga hata kwa mashuti ya off target

Siwaoni mkitoka
 
Yap nalichukua hili kama jibu la kweli linalowakilisha mashabiki wengi wa Yanga kwasababu isingeweza kutokea mshabiki wa Yanga akafurahishwa na alichokifanya Saido wakati kila mmoja hakuwahi kufurahia kumuona akisajiliwa simba
Saido hakuna mshabiki wa Yanga aliyefurahishwa kuondoka,ni yy na bifu na Kocha.....sijamzungumzia Saido kwasababu daraja lake linajulikana.........siyo rahisi mtu kutoka East Africa kucheza Ligue one.......Saido anakitu na atawasaidia sana tu.

NB.Ila huwa nachukizwa mnapomsema Bocco vibaya na leo mnashangilia
 
🤣🤣Sijui maana mi mgeni hapa nchini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…