F16 Falcon
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 750
- 1,645
PoaKila mtu ashinde mechi zake
Mkipata kipa mmpe 5,sio kwa moto anaopelekewaTunakaribia kupata milioni 10
Wamo humu nadhani ushauri wanaupokea wasije tafuta sababu dirisha likifungwaAzam wana Ahmada na wakati Prison kuna kipa mzuri sana.
Si anakuja kocha aliyekuwa VipersMimi ni shabiki wa Simba Kindaki Ndaki Ila Mgunda Hata Tushinde Mechi zote sio Kocha wa Viwango ya Simba, Timu ni Kubwa kuliko uwezo wake.
Leo Mchezo una jidhihirisha. Hawa Prisons ni Kama Hawako Pungufu yaani Gape la Mtu aliyetolewa kwa Card nyekundu halionekani, na Mgunda Amebaki na Mbinu zile Zile….
Makundi Tutatoboa Kweli? Mo alikuwa sahihi kutuuliza Kama Tunataka Kocha
Akipata back line Nzuri huyu ni bonge la kipaMkipata kipa mmpe 5,sio kwa moto anaopelekewa
Subiri kipindi cha pili upungufu wao utaonekanaPrisons wanacheza utafikiri hawako pungufu.
Wamepewa bahasha?Haaa haaa hili goli linachekesha kipa na beki wameshirikia vyema
Azam wanakomaa na benoGolikipa wa prison dirisha hili anabaki pale pale kweli. Azam hamuoni au ni vipofu