FT: Ligi Kuu Bara | Simba SC 7-1 Tanzania Prisons | Uwanja wa Benjamin Mkapa 30/12/2022

Si anakuja kocha aliyekuwa Vipers
 
#GuyuMoya hii mechi mnyama tunashinda ..
 
Simba kazeni acheni kulalama kumbukeni hata nyie mlifunga goli la mchongo Mbeya Sokoine. Kazeni puru izo Yatima Hadeki
 
Naaam kipindi cha pili kimeanza uwanja wa Mkapa
 
46' [emoji460] Bocco Goooooooooooooaaal gooal

John Bocco anaweka kambani bao la pili akipokea pasi murua kutoka kwa SAKHO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…