FT: Ligi Kuu Bara | Simba SC 7-1 Tanzania Prisons | Uwanja wa Benjamin Mkapa 30/12/2022

FT: Ligi Kuu Bara | Simba SC 7-1 Tanzania Prisons | Uwanja wa Benjamin Mkapa 30/12/2022

22' Simba SC 1-0 Tanzania Prisons
 
Henock yupo chini kwa mara nyingine akipatiwa matibabu baada kuchezewa faulo na Mbangula
 
TZ Prison wamekauka katikati. Ya. Hawana midfield ya kueleweka kusukuma mipira mbele
 
Enonga anafanyiwa mabadiliko baada ya kuchezewa faulo na mchezaji wa Prison
 
Kadi Nyekundu kwa Samson Mbangula
 
Mbiringe au Patashika ya Ligi Kuu Tanzania Bara[emoji1241] kuendelea kugombewa leo Disemba 30,2022 ambapo Wataalamu wa kusakata kabumbu lenye viwango vya CAF Wekundu wa Msimbazi Simba SC[emoji881] wanawakabili Wajelajela Tanzania Prisons🟢 kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es salaam[emoji2522]

Kumbuka mchezo ni kuanzia saa 12: 15 Jioni..Usibonyeze Kitufe.

Kulitaka Mwana Kulipewa Mwana.

Hamsa hamsa hamsaa.. Tupe raha mnyamaa
giphy.gif
 
Hawa jamaa leo wanacheza kihuni sana, wapigwe umeme tu hakuna mchezo wa hivyo.
 
Kennedy Juma kaingia kuchukua nafasi ya Enonga
 
Kennedy ameingia kuchukua nafasi ya Henock
 
Back
Top Bottom