FT: Ligi Kuu Bara | Simba SC 7-1 Tanzania Prisons | Uwanja wa Benjamin Mkapa 30/12/2022

FT: Ligi Kuu Bara | Simba SC 7-1 Tanzania Prisons | Uwanja wa Benjamin Mkapa 30/12/2022

Hii ilikuwa wiki ya sheria kila mwana Yanga alikuwa na taaluma ya kujua Feisal kakiuka sheria

Zikibaki points 3 kila mmoja atageuka mwanadiplomasia kushauri baadhi ya mambo kutuliza pressure

Tukiwafunga kwenye Derby wote mtageuka ma expert wenye vision ya mpira na kusema mmefungwa kwasababu uongozi wa Yanga ulifanya makosa kumuacha Feisal

Tukiwazidi points wote mtageuka kuwa protestors kwenda kwa mama kulalamikia TFF na waamuzi
Naombea kesho mtibwa ashinde ili point zibaki 3 pale.
 
Nijibu kwanza mpo nafas ya ngapi baada ya ushindi wa leo?
Hii hapa usiugue:

1672422210340.png
 
Wanafosi maupinde yao yaliyojaa kwny timu yao iwe ndo Simba...mauchafu chafu yao wanataka kuyahamishia kwa wekundu hahaha maupinde ni wao wanajulikana
Kuna ule uzi uliokuwa unazungumzia video chafu ya mashabiki wa Yanga iliyo leak, sikutaka kabisa kujihusisha hata na ule mjadala kwasababu nafahamu inavyoboa kuhusishwa kwenye matukio machafu ambayo tena hujahusika
 
Kuna ule uzi uliokuwa unazungumzia video chafu ya mashabiki wa Yanga iliyo leak, sikutaka kabisa kujihusisha hata na ule mjadala kwasababu nafahamu inavyoboa kuhusishwa kwenye matukio machafu ambayo tena hujahusika
Hongera mkuu huwa una staha sana hupendi majibizano ya matusi...kwa mtu anaekujua najua hawezi kucoment kwny post yako kwa matusi ilihali unafahamika kwa hilo...hao ndo utopoloo
 
Back
Top Bottom