FT: Ligi Kuu Bara: Yanga 1-0 Tanzania Prisons, Uwanja wa Mkapa, 4/12/2022

FT: Ligi Kuu Bara: Yanga 1-0 Tanzania Prisons, Uwanja wa Mkapa, 4/12/2022

Wachezaji Wa Kuwatoa kwa mkopo Wapo wengi humu.

Kisinda Hamna Kitu mule.....Bureee kbs.
 
Kipindi cha pili ndio maigizo yataanza rasmi,utopolo 2-0 prison,ameshakukua pesa ya watu tangia juzi ni lazima walipe fadhila [emoji276]
 
Wachezaji wa Yanga wanatakiwa kuonesha utulivu, na pia ukomavu. Kidogo kidogo wanaingia kwenye mfumo wa Tanzania Prisons, jambo ambalo ni hatari sana.

Mechi hii inatakiwa kumalizika kwa ushindi wowote ule kwa Wananchi! Na siyo kwa sare, au kufungwa tena na timu vibonde kutoka Mbeya.
Acha mambo ya ukabila ndugu...
Wewe ni mshabiki wa juzi ....unajua historia ya mpira wa Mbeya.
 
Wachezaji wa Yanga wanatakiwa kuonesha utulivu, na pia ukomavu. Kidogo kidogo wanaingia kwenye mfumo wa Tanzania Prisons, jambo ambalo ni hatari sana.

Mechi hii inatakiwa kumalizika kwa ushindi wowote ule kwa Wananchi! Na siyo kwa sare, au kufungwa tena na timu vibonde kutoka Mbeya.
Bila bahasha hakuna timu hapo.
 
Haya baada ya show ya mbappe tumehamia huku kwenye papatu papatu bora liende..Kheee kumbe bado bila kwa bila.
 
Back
Top Bottom