kinje ketile
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 5,089
- 9,664
Wachezaji Wa Kuwatoa kwa mkopo Wapo wengi humu.
Kisinda Hamna Kitu mule.....Bureee kbs.
Kisinda Hamna Kitu mule.....Bureee kbs.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha mambo ya ukabila ndugu...Wachezaji wa Yanga wanatakiwa kuonesha utulivu, na pia ukomavu. Kidogo kidogo wanaingia kwenye mfumo wa Tanzania Prisons, jambo ambalo ni hatari sana.
Mechi hii inatakiwa kumalizika kwa ushindi wowote ule kwa Wananchi! Na siyo kwa sare, au kufungwa tena na timu vibonde kutoka Mbeya.
Bila bahasha hakuna timu hapo.Wachezaji wa Yanga wanatakiwa kuonesha utulivu, na pia ukomavu. Kidogo kidogo wanaingia kwenye mfumo wa Tanzania Prisons, jambo ambalo ni hatari sana.
Mechi hii inatakiwa kumalizika kwa ushindi wowote ule kwa Wananchi! Na siyo kwa sare, au kufungwa tena na timu vibonde kutoka Mbeya.
Hii taarabu tusha izoeaBila bahasha hakuna timu hapo.
Tumekuja kujifunza makosa mapya ya kibinadamu ya mwamuziHaya baada ya show ya mbappe tumehamia huku kwenye papatu papatu bora liende..Kheee kumbe bado bila kwa bila.
Kama ilivyokuwa jana kipindi cha pili.Kipindi cha pili ndio maigizo yataanza rasmi,utopolo 2-0 prison,ameshakukua pesa ya watu tangia juzi ni lazima walipe fadhila [emoji276]
Tuachie Kisinda wetu. Tulimsajili aje kumtoka Onyango kwa kasiKamati ya Pira lawama mnakionaje kiwango cha Kisinda?
Huo ni ukweli hamna timu hapo.Hii taarabu tusha izoea