FT: Ligi Kuu Bara: Yanga 1-0 Tanzania Prisons, Uwanja wa Mkapa, 4/12/2022

FT: Ligi Kuu Bara: Yanga 1-0 Tanzania Prisons, Uwanja wa Mkapa, 4/12/2022

Uyu refarii atakuwa kapewa ela na yanga anawabeba sana yanga wazi wazi tunaona wachazaji wa tz prisons wanachezewa rafu lakini hakuna kadi inayotolewa
 
Morrison anaingia wakati Clement akitoka

Mashabiki wa uto wamepiga yowe ngoja mechi iishe tutawaona
 
Back
Top Bottom