Pengo la Fiston Mayele leo liko wazi kabisa.[emoji2827]Mwezi ujao Yanga waongeze mshambuliaji mwingine. Dogo Clement Mzize bado anahitaji muda wa kujifunza. Makambo naye sijui yuko wapi!
Pengo la Fiston Mayele leo liko wazi kabisa.
Wakipata goli watatoka huko shimoni walikojichimbia kwa Sasa.Uzi hautembei hadi wafunge
Dah..mida ya wanga hiiDakika ya 80
Labda kama hawazitaki zile million 20.Prisons watafungwa kizembe
Or else 3Another two points dropped
Kaka yangu wewe ni mwananchi?Pengo la Fiston Mayele leo liko wazi kabisa.[emoji2827]
Mimi Ihefu kaka[emoji1545]Kaka yangu wewe ni mwananchi?
Mbona mada imegota?Refa maliza mpira nasinziaaaaaa
Mpunga huwa unatembea hadi kwa kochaHii game Yanga washindwe wenyewe! Prison wangeingiza viungo wakabaji na beki mmoja wa kati wacheze 6:3:1 wakiwa bila mpira, 5:3:2 wakiwa na mpira wanacheza counter kwa muda uliobaki. Wasipo change naona watachoka na kuruhusu goli kizembe!
0-0Ngapi ngapi huko
Uto watapata goli tuNgapi ngapi huko
Usijali ndugu acha wahangaike mpaka iwe watakavyo ila Mungu ni mwema yuko upande wetu sisi Tanzania PrisonRefa maliza mpira nasinziaaaaaa