No mi sizungumzii bao la Chama basi sikuwaelewaAlaifunga yeye mwenyewe chama zidi ya Mbabane swalo
Ngapi Huko?Kila la kheri Geita Gold.
Kama mlimaanisha bao la Chama nasi sikumakinikaSijaona goli la hivyo World Cup. Au nyie mmeona ndugu zangu?
Hebu tuone hayaMakolokolo/Mbumbumbu/Malalamiko/Makelele/Kolowizards/Ngada FC mkipigwa naomba mje mnistue Utopolo kuwazomea.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Simba wanaongoza mbili bila, Ila haibadilishi maombi yangu Kwa Geita second half wasawazishe ameen.Ngapi Huko?
Engineer Soma Wewe
Sasa Hivi Tatu BilaSimba wanaongoza mbili bila, Ila haibadilishi maombi yangu Kwa Geita second half wasawazishe ameen.
Kila Mtu ashinde mechi zakeSasa Hivi Tatu Bila