FT: Ligi Kuu Tanzania Bara | Mbeya City 1-1 Simba SC | Uwanja wa Sokoine 23/11/2022

Sijafurahi bwana kwani kwny mpira kuna kufunga kila siku? Waulize manchester na Arsenal
Kwani ukikubari kuwa simbq ina mapungufu utakosa pesa?

Kwaiyo unatamani simba iwe ivi tu?
 
Ongera Mbeya City kwa goli zuri lisilo na utata.

Waamuzi wa leo wangekuwa makini mpira ungeisha kwa 1 - 0.

Your browser is not able to display this video.
 
Mmeanza sasa kutafuta mchawi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…