Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Tangu zama za Tukuyu Stars Banyambala, Mecca hadi sasa Prisons na Mbeya CityPrison ndio huwa anatupa wakati mgumu zaidi lakini sio mbeya city. Ila uwanja wa sokoine ni mgumu sana kwa simba.
Kwani ukikubari kuwa simbq ina mapungufu utakosa pesa?Sijafurahi bwana kwani kwny mpira kuna kufunga kila siku? Waulize manchester na Arsenal
Mtazame Mo Hussein ambae baada ya cross alibaki amesimama palepale tena karibu na touch line sambamba na Manula.Sasa kwanini haulizungumzii goli la mbeya city ambalo lilikuwa hivyohivyo?
makolo wana match kama 4 za away tena mfululizo then hii ya kwanza tu washaangusha pointi,na bado hawa swahiba mpaka maji waite mma 😀😀Swahiba Mgagaa na Upwa lete msimamo hebu. 😂😂
Leo mume hapati utamu🤣🤣🤣🤣Nimeshikwa pabaya..
Mkishinda mnajisifu,mkudraw ama kufungwa ndio mnajua hamna timu.Tuseme ukweli tu ni wakati sasa wa kusafisha kikosi, simba sisi wachezaji hatuna
Mmeanza sasa kutafuta mchawiManagement na bodi wajiuzuru! Matatizo haya ni yao!! Kama unaipenda Simba tuukate uongozi wa Simba! Wamefeli bila sababu za msingi! Tatizo sio wachezaji wala kocha ni uongozi ambao hujificha kwenye kivuli cha wachezaji au kocha!
Tuombe uchaguzi haraka tufanye mabadiliko! Harakati zinaanza!
Timu gani mlizocheza nazo mkawafunga?Nawashangaa mnaosema Simba haina wachezaji wazuri wakati ndio hao wametupeleka makundi klabu bingwa Afrika, Mgunda ameishiwa mbinu huu ndio ukweli.
Umeanzaa 😆Leo mume hapati utamu🤣🤣🤣🤣
Ni kawaida kuna timu ipi ipo kamili?Kwani ukikubari kuwa simbq ina mapungufu utakosa pesa?
Kwaiyo unatamani simba iwe ivi tu?
Kha! Jamani support kwa mzawa wetu pep mnene muhimu mbona unatubwaga tena mremboSitaki Lawama mkuu waamue wanavyotaka