FT: Ligi Kuu Tanzania Bara | Mbeya City 1-1 Simba SC | Uwanja wa Sokoine 23/11/2022

FT: Ligi Kuu Tanzania Bara | Mbeya City 1-1 Simba SC | Uwanja wa Sokoine 23/11/2022

Nawashangaa mnaosema Simba haina wachezaji wazuri wakati ndio hao wametupeleka makundi klabu bingwa Afrika, Mgunda ameishiwa mbinu huu ndio ukweli.
 
Unajisikiaje huko uliko?? Halafu goli la SImba boko alikuwa offside maana alikuwa na athari kwenye goli. Kitendo cha kuuruka mpira na maana yake umeleta athari kwenye goli
Sasa kwanini haulizungumzii goli la mbeya city ambalo lilikuwa hivyohivyo?
 
Back
Top Bottom