Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Hiyo transition period mliifanya kwa muda gani? kwasababu ubovu wa yanga haujaanza leo, data zipo niambie ni mwaka jana tu au miaka minne yote iliyopita mnafanyaga tu transition?We jamaa bana. Hivi ni nani asiyejua kuwa timu ya Yanga ilikuwa katika 'transiting process' ambayo kila timu hupitia na muda? Hiko ulichokiweka hapo, ukitoa misimu mitatu nyuma, hali ilikuwa hivyo? Things are not static, two seasons wonder za CL ndo zimekufanya ukawa hapo, only two, so stop acting as if upo level za Al Ahly and co. ambao kwao quarter final is not something to cherish. Kocha akiishia hapo anafukuzwa kabisa.
Kwa Namungo amecheza recently michuano ya kimataifa na tunajua how corona worked on their side. Lucky charm. Form is temporary mzee. Let them did the same then uje kuongea hapa.
Mshamaliza transition au bado mnaendelea? maana huko mbeleni msije na excuse kua mlikua bado kwenye process