Ncha Kali
JF-Expert Member
- Sep 19, 2019
- 15,335
- 29,114
Waite ngada FC almaarufu hirizi FC.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waite ngada FC almaarufu hirizi FC.
fwamba kabsaWahi kupuliza filimbi.
Hadi wewe unaamua kuanika ushudu?Bahasha inaongea
Hakuna contact hapo mzee. Ni kweli amecheza tackling akaukosa mpira pia hakumgusa mchezaji wa coastal na ndio maana mchezaji wa coastal ndio kamuomba msamaha kwa mchezo mbayaHujaona jamaa aliye fyekwa ndani ya box, jamaa alikosa mpira kapiga miguu??
Simba ni saivi yao, ni rika moja.Hivi inakuwaje tmu zote za hapa nchini zikicheza na Yanga zinakaa nyuma ya mpila ila zikicheza na Simba zinafunguka?? Ina maana huwa haziihofii Simba?
Unadhani atakuelewa huyo hata usemeje? Maumivu na mahaba yameziba mirija ya kufikiri.Hakuna contact hapo mzee. Ni kweli amecheza tackling akaukosa mpira pia hakumgusa mchezaji wa coastal na ndio maana mchezaji wa coastal ndio kamuomba msamaha kwa mchezo mbaya
Popoma la Malalamiko/Mbumbumbu/Makelele/Kolowizards/Ngada FC limeshakujibu ujumbe uliofatia kuwa bahasha zinatembeagaHivi inakuwaje tmu zote za hapa nchini zikicheza na Yanga zinakaa nyuma ya mpila ila zikicheza na Simba zinafunguka?? Ina maana huwa haziihofii Simba?
Nenda mahakamaniCoastal wamenyimwa penalt ya wazi kabisa! hii sio sawa!
Ulikalisha makalio ukidhani Yanga anafungwa? Kameze pain killer kalalez waganga fc.Uto kama uto
Kwa sabab yanga yanacheza counter attack ila simba wanacheza total football (tik taka) sheeenzHivi inakuwaje tmu zote za hapa nchini zikicheza na Yanga zinakaa nyuma ya mpila ila zikicheza na Simba zinafunguka?? Ina maana huwa haziihofii Simba?
Sina tabia ya kubishanaUlikalisha makalio ukidhani Yanga anafungwa? Kameze pain killer kalalez waganga fc.
Ndo maana wanaumia. Wanamwona shoga yao anahenyeshwa.Acha tumpige shoga ake mtu
Wanaocheza ni Coastal Union, ila maumivu wanapata wao!! Inashangaza sana.Malalamiko fc.
Ni shoga yao ndo' maana.Wanaocheza ni Coastal Union, ila maumivu wanapata wao!! Inashangaza sana.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119]Kwa sabab yanga yanacheza counter attack ila simba wanacheza total football (tik taka) sheeenz
maumivu ya kujitakiaWanaocheza ni Coastal Union, ila maumivu wanapata wao!! Inashangaza sana.