ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Sio bahasha?Jezi zindiko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio bahasha?Jezi zindiko
Sema Mayele atakuwa na goli 25 Hadi 30Safari hii rekodi ya mabao ya Msimu uliopita inavunjwa mapema sana. Mfungaji bora atakuwa na 20+
Kwani ukikubali refa kachemka kuna tatizo gani Tate?Kama siyo sawa, chukua filimbi ingia uwanjani uchezeshe wewe.
Hebu tutolee makasiriko Yako hapo. Hilo tukio halina utata wowote hata wachambuzi hawakuliongolea hata coastal union wwnyew hakuna aliyelalamika.Kwani ukikubali refa kachemka kuna tatizo gani Tate?
Mimi sisemagi bahasha ushawai niona hata siku moja mtani?Sio bahasha?
Hakukuwa na utata kwenye lile tukio. Hivyo siyo poa kuwalalamikia waamuzi hata kwenye matukio ya kawaida kabisa!Kwani ukikubali refa kachemka kuna tatizo gani Tate?
Ndio ushawahi sema tena mara nyingi au niweke ushahidi hapaMimi sisemagi bahasha ushawai niona hata siku moja mtani?
Basi sawa, mtani kumbe wewe una amini ndumba sio bahashaMimi sisemagi bahasha ushawai niona hata siku moja mtani?
Weka tuu kama unao...Ndio ushawahi sema tena mara nyingi au niweke ushahidi hapa
Si tumeambiwa hapa kuwa hyo jezi imevundikwaa?Basi sawa, mtani kumbe wewe una amini ndumba sio bahasha
Huu mpira umepigwa saa ngapi mnk Niko dodm kuanzia saa kumi na 12 mvua inapiga sikutoka Tena had SAS[emoji41]Si tumeambiwa hapa kuwa hyo jezi imevundikwaa?
Kaeni mkao wa kuliwa Feb sio mbaliNyeusi FC
Wee msambaa mayele amepiga magoli mangapiHakukuwa na utata kwenye lile tukio. Hivyo siyo poa kuwalalamikia waamuzi hata kwenye matukio ya kawaida kabisa!
Never ... mnafikiri hizo jezi za msibani zitasaidia?Kaeni mkao wa kuliwa Feb sio mbali
Mi mwenyewe nimeona humu nadhani saa moja hivi..Huu mpira umepigwa saa ngapi mnk Niko dodm kuanzia saa kumi na 12 mvua inapiga sikutoka Tena had SAS[emoji41]
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Yani ligi hii watashangazwaNever ... mnafikiri hizo jezi za msibani zitasaidia?
Penalty ya wazi sana ila ndo vile mwamuzi anabahasha asingeweza kuruhusu.Hebu tutolee makasiriko Yako hapo. Hilo tukio halina utata wowote hata wachambuzi hawakuliongolea hata coastal union wwnyew hakuna aliyelalamika.
Yaani umekomaa ili tu ionekane Yanga haijashinda Kwa haki, watu km nyie ndio mnaifanya Simba ionekane ni timu ya watu mbumbumbu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]