FT: Ligi Kuu: Yanga S.C 1-0 Ruvu Shooting: Uwanja wa Mkapa, 23/01/2023

Hodi hapa.........
 
Wale wasema kweli nipeni abc ya first half,maana sijaangalia kabisa ila sekandi hafu nipo...........Sina points za kutetea timu yangu first hafu,naomba wale wapinzani mnipe abcd Scars OKW BOBAN SUNZU kama mmeona game 😀😀
 
Japo Yanga wanaongoza ila Leo hawana mchezo mzuri kama tuliouzoea
Ni kweli walichelewa kuchanganya. Wameanza kuchanganya dakika 15 za mwisho. Mpira waliocheza dakika za mwishoni ndio wangeanza napo ingekuwa habari tofauti mpaka sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…