Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Historia imebakiGoals 15 mkuu hana jipya?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Historia imebakiGoals 15 mkuu hana jipya?
Dakika ya 15-20+ mpira ulikuwa kwenye umiliki mkubwa kwa RuvuHayo ni zaidi ya makengeza, yaani ball possession 71 kwa 29 ndiyo wanacheza vizuri.
Wa kuni ama maguniaHuyu Moloko ni mzigo mkubwa sana
Basi sawa mkuu ila ndiyo MVP wa msimu huuHistoria imebaki
Just a dreamBasi sawa mkuu ila ndiyo MVP wa msimu huu
Kiaje?Ulikua unaangalia marudio ya game ya 2020?
Magunia kabisaWa kuni ama magunia
Kipindi gani ruvu walikua wameizidi yanga? Ist half?Kiaje?
Chaguo lenu wenyeweClement
Magunia kabisa
Kuna mtu hapa anasema musonda na makambo lao ni hili 1.Musonda equals to Balinya...!
Nasema Uongo ndugu Zangu..?
Watanzania huwa tunahisia zaidi kuliko uhalisia kwahiyo nakuelewa sana mkuu,Saido aliyekuwa akiitwa mzee Yanga, Saizi anaabudiwa Simba kwahiyo sishangai sana vi-arguements vyakoJust a dream
Kwenye comment yangu ya kwanzaKipindi gani ruvu walikua wameizidi yanga? Ist half?
Timu bado haijarudi kwenye flow yake ya kawaida tangu mapumziko ya MapinduziYanga full Mziki inahenyeshwa Na Ruvu hapa....!
Ya Mpole yatajirudia mwaka huu, Onyango naye mnamuita mzee ila kiroho mnamhitajiWatanzania huwa tunahisia zaidi kuliko uhalisia kwahiyo nakuelewa sana mkuu,Saido aliyekuwa akiitwa mzee Yanga, Saizi anaabudiwa Simba kwahiyo sishangai sana vi-arguements vyako
Yule Lawena Msonda kwani ametoka?Yanga full Mziki inahenyeshwa Na Ruvu hapa....!