mzee wa bwaksi
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 2,255
- 3,972
- Thread starter
-
- #81
Nyie bahasha zimewafanya mpo hapa[emoji116]Apo lilipigwa pira "utatoa utoi"
Shukuruni izo bahasha zimewafanya mpo apo mlipo saiv
Umepiga nyundo ya utosi ajikujibu atakuwa ni mwanaume[emoji23][emoji23]Nyie bahasha zimewafanya mpo hapa[emoji116]View attachment 2526435
We kweli mwarabu fekiUmepiga nyundo ya utosi ajikujibu atakuwa ni mwanaume[emoji23][emoji23]
Wazee wa kushangilia sare mpo?Uto kujeni na hoja sio personal attack na lugha zisizokua na staha. iyo inaonesha ni kwa jinsi gani mlivyokuwa empty uwanjani hadi akili zenu [emoji1787][emoji1787]
Bahasha fc [emoji196]
Kumbe Aziza kwi ni kikosi cha 3Kuweka kumbukumbu sawa, hiki ni kikosi cha 3 cha Yanga
Mimi ni shabiki wa Raja Casablanca tuliowafirimba 3-0 jumamosi, hapo upo?We kweli mwarabu feki
Uto hamna hoja ndio maana Hersi anawaendesha tu kama kitoroli kibovu [emoji23][emoji23]
Katoka mapangoni huko olduvai gorgeHatimaye umeonekana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Bado unabishana na makolo, Hao wanapuuzwa siku hiziMpira ni mchezo wa makosa ila makosa yakifanywa dhidi ya Yanga ni bahasha. Ila makosa yakifanywa dhidi timu yenu ya Simba hamuimbi wimbo wa bahasha. Jana mchezaji wa Azam kafanya kosa la kupiga kichwa mpira golini kwake na kuingia wavuni kulikuwa na bahasha?