Mr Confidential
JF-Expert Member
- Jul 1, 2018
- 1,532
- 2,415
Goli 7! Are you serious?πKosi la mauaji GOLI 7 naziona hapa π₯π₯π₯π₯π€£π€£π€£π€£πΈπΈπΈ
View attachment 2954785
No pacomeKwao kama kwetu
Tulia Kijana,hizi ndio match za kibabe.Daah! Zizou hayupo hata bench, tushaumia
Narudia tena,kwao kama kwetu. Daima mbele nyuma mwiko.No pacome
No Aucho
No Yao Yao
TUTATOBOA TU [emoji120][emoji120][emoji120]
Mzize anafanya pressing sana usichukulie poa sheikhNme penda tu kwa Guede kuliko lile boya mzize .dogo lina boa sana
Go to hell wananchi..View attachment 2954053
2nd Leg Match
CAF CHAMPION LEAGUE
QUARTER FINAL.
Mamelodi Sundowns vs Yanga Sc
Time: 9:00Pm
Stadium: Loftus Versfeld Stadium
View attachment 2954393
View attachment 2954394
More Updates following...
Kikosi Cha Yanga Kinachoanza
View attachment 2954796
Kazini kwetu kuna Kazi
ππMtapigwa kama ngoma ya amapiano leoπ
1st 11 cha yanga leo uhh πππ tuKwao kama kwetu
matokeo ya makolo ni 3-1 simba winsππ
Satano mbali basii..?? Mtadundishwa kama kitenesi watoto wa Mo'..!
Nyumba kuna mwikoChagua upande nani anapigwa 3
Nakaziaπ¨π¨π¨Mtapigwa kama ngoma ya amapiano leoπ