cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]We utamuweza udugu wangu lakini?? Ana mkanda wa boxing shauri yako [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nakuuliza pm ni issue private, pm iko wazi??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]We utamuweza udugu wangu lakini?? Ana mkanda wa boxing shauri yako [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nakuuliza pm ni issue private, pm iko wazi??
Ndio nani huyo? MuiteNtakuitia Williams [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwanza mimi sio Uto, lakini pia sio Shabiki Maandazi wa kujifanya kutoona kwamba hata Shirikisho ilitushinda. Hayo maelezo mengine yako mengine ni kelele tu kwa sababu hayahusiani na ambacho ulihoji na kujibiwa.Kipindi hicho Yanga alikuwa wapi?
Unapokuja kuzungumzia shirikisho yenu ya medali, Simba hakucheza shirikisho.😁😁😁
Ni sawa na wanafunzi wawili, mwaka 2022 walifanya mtihani wa darasa la 4 kuingia darasa la 5. Mmoja akafaulu na mwingine akafeli. 2023, Mmoja aliyeingia darasa 5 (Simba) akafanya mtihani akawa wa 4 na aliyebaki darasa la 4 (Yanga) akafanya mtihani akawa wa 2, sasa wa darasa la 4 aliyefeli kuingia darasa la 5, anamtambia wa darasa la 5 kuwa yeye amekuwa pili na kipindi hicho alisoma darasa la 4 hakuwahi kuwa wa 2 darasa la 4).
Ndicho unachozungumzia