[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa kikosi hiki haki wakishinda najitoa out udugu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
wee huogopiii??
Ni kweliMechi ngumu hii kwa Sundown sababu wamekosa njia kabisa. Yanga wakipata goli itakuwa ngumu zaidi.
Na Yanga wanapata GoliMechi ngumu hii kwa Sundown sababu wamekosa njia kabisa. Yanga wakipata goli itakuwa ngumu zaidi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aziz Ki leo hachezi kabisa mzito, hakabi, afuati mpira kwa speed, anapoteza mpira kirahisi, hakimbii, yuko yuko toa huyu mtu plzz toa haraka, nyoko kabisa leo Aziz Ki
mwenye mikoba nusu ya yanga ni pacome hayupo. hapo wanacheza wanasesere ushindi utoke wapi?Yanga Wana nafasi nzuri sana ya Counter sijui wanafeli wapi
Mamelody wameshajua siunaona wanavyokuja kushambilia wanakuja woteYANGA WAACHE UHUNI WAONDOKE HAPO NYUMA WAKASHAMBULIE KWA STYLE YAO HAWATAPATA GOLI LABDA KAMA WANATAKA KUFIKA PENATI
Kuna mda anacheza utumbo sanaMillion 100 zimemuanzisha