Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
ni goli mtaniNi mkuu je ile ni goli au sio goli?
Hili la kuwaachia hapana. Waachieni nyinyi, mbona kipindi hamkususia kuwapokea airportTungekua na ushirikiano mwaka ujao tungewaachia wacheze wenyewe
Jitoeni ila simba Mo itaendlea kuchezaUpuuzi mtupu
Tukitolewa leo basi tujitoe tu kwenye huu upuuzi wa kuitwa mashindano.
Sisi tunaona ni goli ila VAR imeona siyo. Sasa utamlaumu refa kwa maamuzi aliyopewa na VAR?Sasa goli maana yake si tumeshaingia nusu fainali, we unaona jamba dogo.., we vipi?!
Una uhakika wewe ni Simba?Mie simba ila bora tuicheke utopolo ikiwa imefungwa kwa haki sio kwa dhulma namna hii...
Wee ile ya lomalisa ni red card, na kwa hili goal ni halali kabisaa. Kubali haya matokeo.Coca acha basi, straight red bila contact? Weka ushabiki pembeni, haya Hilo goli limeingia au?
Mzize ni kiazi sanaDaaaaaaah mzizeeeeeeee dah Yanga mpira wake hadi raha kuangalia aisee Japo mimk Simba